Inakuaje hii Toyota LC 300 ni toleo jipya ila usajili wake ni namba C?

Inakuaje hii Toyota LC 300 ni toleo jipya ila usajili wake ni namba C?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Nimeshangazwa na hii Toyota Land Cruiser LC 300 ambazo ni matoleo mapya lakini namba ya usajili ni C.

Ikumbukwe usajili wa Namba C ni miaka ya 2010 huko, imekaaje kitaalam hii?

IMG_4436.jpeg
 
Nimeshangazwa na hii Toyota Land Cruiser LC 300 ambazo ni matoleo mapya lakini namba ya usajili ni C.

Ikumbukwe usajili wa Namba C ni miaka ya 2010 huko, imekaaje kitaalam hii?View attachment 3164471
Nyingi wame upgrade inakuwa lc200 unanunua upgrade kit inakuwa lc 300 ndio ubaya wa toyota aliyetoa 400m na aliyetoa 100m hawana tofauti barabarani, ndani ukiingia ndio inakuwa tofauti
 
Back
Top Bottom