zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wajomba hao Wazee wa kuwadaka watu ndio wanavyofanya ukiona hivyo jiongeze, sasa hivi wapo wanambinya kende Abdul Nondo huko kabla hawajammaliza na asionekane tenaNimeshangazwa na hii Toyota Land Cruiser LC 300 ambazo ni matoleo mapya lakini namba ya usajili ni C.
Ikumbukwe usajili wa Namba C ni miaka ya 2010 huko, imekaaje kitaalam hii?