Inakuaje maofisini huku msomi ana Masters ila hajui kuandikia mradi

Inakuaje maofisini huku msomi ana Masters ila hajui kuandikia mradi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
 
Sina masters ila km umefungua ubungo kias flan hv
Mkuu hela zipo ndo maana mwenzetu wa maliasili na utalii wanaonekana Wana hela na serikalini huguswi kama umekula hela ya wahisani report summary ya kazi ikiwepo ni uzembe fulani tunao.. Hata wewe Kwa fani yako uki google project zake ujifunze procedures uone kama hauwezi japo lazima uwashirikishe partner before huja apply ili mrekebishe
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani. Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule. Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika Tena. lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa. Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Mkuu,
Exposure Ni kitu muhimu Sanaa 😊 Kuna wadau Ni 4m4 Ila wanatekeleza majukumu ya PHD
 
hizo mastazi hazina faida yoyote ukitaka kujua angalia wafanyakazi wa halmashauri zetu u akuta mtu ana elimu kubwa ila hajui hata kazi anayofanya ukimuhoji ni mweupe kichwani ndio maana unakuta tunalaumu viongozi ila hawa wajinga hamnazo kabisa.....

jiulize mtu kana DT ukimchapa swali dogo tu la uelewa kuhusu wilaya yake anambwela sasa hizo elimu zao kubwa hazina msingi wowote...
 
Mkuu,
Exposure Ni kitu muhimu Sanaa 😊 Kuna wadau Ni 4m4 Ila wanatekeleza majukumu ya PHD
Kweli kabisa Exposure na idea zinatupita ila tunashindwa kutengeneza title nzuri wakati maeneo ya Utafiti yapo kama yote.. Me nalia na hawa wenye master nashindwaga kujua aliwezaje kuipata.. Idea zipo kibao msomi anapitwa hela na ma content creator wa kawaida kabisa wakati yeye ndo alipaswa avute dollar za ku printiwa.. Au anakuwa na tabia ya uchoyo hana Ushawishi Kwa partner..
 
Kimsingi.watu.wengi wanaenda shule kupata vyeti ili wapande vyeo.lakini.kiuhalisia hawana elimu za vyeti husika.

Mtu anasoma masters ya evening unategemea nini. Yaani kusoma kwenyewe kunavyochosha halafu unakuta mtu anafanya kazi eti saa 11 ndo anaingia chuo...anaishia kusoma videsa ili afaulu mtihani. Research anatafuta mtu wa kumfanyia.

Ukitaka kusoma inabidi kuahirisha mambo mengime kwa muda na ujikite kwenye shule.
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Kwani ana masters ya uhandishi wa habari?
 
Kugombea vi per diem vya safar za uongo na kweli imekua ugonjwa.mtu anaandika phd kabisa anaskikizia dojezo litiki avute perdiem,unakuta mtu phd mzima badala ya kufo cus vip aandike maandiko kama yote magrant yamejaa huko yeye kutwa kusafiri,sehem za kuachia tu subordinate wako waende wakupe taarifa hapana yeye kutwa kucha barabaran anaubgqnisha vikao tu,unakuta katoka cha Morogoro kashajopigia pande juu kwa juu huyooo arusha,hajakaa sawa dar kikao hajapumua mwanza,hajaila posho ya moro mara dodom .

Nimewah kuuona phd kaja kukagua kaz yan hana point anabubuja tu,bora ma instructor sa Vyuo wale wanapambana,nenda pale dodma au UD wanapata sana grants za research ila maofisin asee msiba, unapokuwa mfano ni kiongzoi lets say shirika au unit baki tulia tandika maandiko tupia mabalozini huko subordinates wako wanakuwa bizr na activities, phd wa vyuo angalau wana pata grant za research ila hawa wa mofisin asee mtihan.
 
Kugombea vi per diem vya safar za uongo na kweli imekua ugonjwa.mtu anaandika phd kabisa anaskikizia dojezo litiki avute perdiem,unakuta mtu phd mzima badala ya kufo cus vip aandike maandiko kama yote magrant yamejaa huko yeye kutwa kusafiri,sehem za kuachia tu subordinate wako waende wakupe taarifa hapana yeye kutwa kucha barabaran anaubgqnisha vikao tu,unakuta katoka cha Morogoro kashajopigia pande juu kwa juu huyooo arusha,hajakaa sawa dar kikao hajapumua mwanza,hajaila posho ya moro mara dodom . Nimewah kuuona phd kaja kukagua kaz yan hana point anabubuja tu,bora ma instructor sa Vyuo wale wanapambana,nenda pale dodma au UD wanapata sana grants za research ila maofisin asee msiba, unapokuwa mfano ni kiongzoi lets say shirika au unit baki tulia tandika maandiko tupia mabalozini huko subordinates wako wanakuwa bizr na activities, phd wa vyuo angalau wana pata grant za research ila hawa wa mofisin asee mtihan.
Sio phd ni PhD
 
Kugombea vi per diem vya safar za uongo na kweli imekua ugonjwa.mtu anaandika phd kabisa anaskikizia dojezo litiki avute perdiem,unakuta mtu phd mzima badala ya kufo cus vip aandike maandiko kama yote magrant yamejaa huko yeye kutwa kusafiri,sehem za kuachia tu subordinate wako waende wakupe taarifa hapana yeye kutwa kucha barabaran anaubgqnisha vikao tu,unakuta katoka cha Morogoro kashajopigia pande juu kwa juu huyooo arusha,hajakaa sawa dar kikao hajapumua mwanza,hajaila posho ya moro mara dodom . Nimewah kuuona phd kaja kukagua kaz yan hana point anabubuja tu,bora ma instructor sa Vyuo wale wanapambana,nenda pale dodma au UD wanapata sana grants za research ila maofisin asee msiba, unapokuwa mfano ni kiongzoi lets say shirika au unit baki tulia tandika maandiko tupia mabalozini huko subordinates wako wanakuwa bizr na activities, phd wa vyuo angalau wana pata grant za research ila hawa wa mofisin asee mtihan.
Uvivu kufuatilia +uchoyo+starehe kupitiliza +ubinafsi.. Mtu Ana master anakula posho ya safari kamzidi technian mwenye diploma 20000 tu ya per diem na ameridhika.. Hela zenyewe za ndani ukiotea vi night 30 jua mradi wa kitaifa yaani million kumi kulipwa iwe ni mchongo kweli toka kwenye mifuko ya Wizarani.. At the same time USAID HUKO NA WASHIRIKA WA MAENDELEO WAMEKALIA BILLIONS OF MONEY. nini tofaut hapo ya mwenye master na wengine wa chini yaani mwaka unaisha hujatoa Mawazo hata mawili ya kwenda international kuwatingisha kidogo.
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
ana masters sijui ni ya nini, halafu tena, unamshauri aende Google tena 🐒
sasa hapo nini ndio kitakua msaada apo..
 
Back
Top Bottom