ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.
Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?
Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.
Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?
Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.
Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.