Inakuaje maofisini huku msomi ana Masters ila hajui kuandikia mradi

Inakuaje maofisini huku msomi ana Masters ila hajui kuandikia mradi

Hahahaha upate ufadhili wa billion 100 sio mchezo unajua. Ni ishu nzito sana ila mpunga ukitoka ni kujipigia tu.
B 100 huko sio mchezo ila me naisemea tu ile ya million 200-300..
Unahakikisha kweli awamu ya kwanza wadau unawakazia wawe serious na mpango kazi wao ama katiba yao ili matokeo yatokee yaonekane wasiingie tamaa. Kikubwa ni ushirikishwaji partner wote na hasa viongozi wa maeneo husika ukandaa training za kutosha.. Wazungu wanapenda sana mradi uweze kuacha awareness zaidi. Mission ikiwa accomplished nyie kupewa hela za awamu ya pili ni rahisi vielelezo vikiwa vipo mfano hata wakikagua wakakuta vifaa ulivyotaka vipo na matokeo yapo hela ni nyingi tu labda changamoto zipogi kwenye mawizara huko wakatae kulipitisha andiko nako sio rahisi kama mradi una Make sense na mnagawana cake vizuri na wanaserikali wenzako na private sectors.
 
B 100 huko sio mchezo ila me naisemea tu ile ya million 200-300..
Unahakikisha kweli awamu ya kwanza wadau unawakazia wawe serious na mpango kazi wao ama katiba yao ili matokeo yatokee yaonekane wasiingie tamaa. Kikubwa ni ushirikishwaji partner wote na hasa viongozi wa maeneo husika ukandaa training za kutosha.. Wazungu wanapenda sana mradi uweze kuacha awareness zaidi. Mission ikiwa accomplished nyie kupewa hela za awamu ya pili ni rahisi vielelezo vikiwa vipo mfano hata wakikagua wakakuta vifaa ulivyotaka vipo na matokeo yapo hela ni nyingi tu labda changamoto zipogi kwenye mawizara huko wakatae kulipitisha andiko nako sio rahisi kama mradi una Make sense na mnagawana cake vizuri na wanaserikali wenzako na private sectors.
Hii nzuri naona sheta amepitia njia hii na kashtoboa freshi.
 
Uandishi wa Habari na proposal ya mradi unalinganisha yaani mtalaam Kwa mfano wa metereology unataka ulinganishe andiko lake na mwandishi wa Habari.
Ndugu wewe mgeni wa nchi hii na ma-masters' holders?!
Kwa kifupi wenye masters stahiki sijui kama wanafika asilimia thelathini.
Karibu asilimia sabini wana 'janja janja masters', masters za magumashi, masters za rushwa!
Watapata wapi huo uwezo wa kuandaa andiko la mradi husika kwa ufasaha?
 
Mkuu ni kweli hali ya uwezo wa baadhi ya watumishi wa Umma inasikitisha na kukatisha tamaa.

Ingawa siungi mkono google search, Tafsiri ya ulichoandika ni kuwa weledi wa watumishi wa Umma upo chini.
Nakubaliana nawe, kuna viashiria vingi vinavyoonyesha kuwa baadhi ya watumishi wa umma hawana weledi stahili kwenye utendaji, uongozi na nafasi za kisiasa. Udhaifu unaonekana katika maamuzi, ubunifu, na utekelezaji wa sera.

Zamani ilikuwa vigumu kwa mtu anayefanya kazi kufaulu na kupata shahada au stashaha. wengi walikuwa wana discontinue au wanafaulu kwa tabu sana kutokana na utu uzima au uwezo wao kuwa mdogo. Lakini kwa sasa ni rahisi zaidi kwa watumishi kufaulu vyuo vikuu kuliko watoto wanaotoka A'level directly. Hii inatokana na ukweli kuwa sasa kuna njia mbadala nyingi za kufaulu vyuoni kuliko jitihada na uwezo wa mwanafunzi. Ukiwa na ushawishi, ni rahisi kupata B, M hadi PhD wewe tu na mbinu zako. Hivyo undeperomance kwa graduate wa sasa siyo kitu cha kushangaza.

Katika Ofisi fulani kuna mtaalamu ana MBA na CPA lakini anakodi watu wamwandikie riport na majibu ya CAG. Kuna mtu ni wakili aliyesajiriwa lakini hawezi draft mkataba. Kuna mtu ni Katibo Mkuuu lakini hawezi kutafsiri ripoti ya andiko la mradi. Unakuta watu wamevaa suti zimewakaa wanakula uapisho, unajua yes sasa taasisi itafufuka, akifika ofisini utatamani aliyetumbuliwa arudishwe!

Yaani huwa inashangaza kumkuta Katibo mkuuu, wakurugenzi na wasomi wanapambana ili kupiga pesa za posho za safari au ku overestamate bajeti kwa dhumuni ya kuiibia serikali. Watu kama utani wanakutana baa kujadili namna ya kuandaa dokezo la kupiga pesa, na kweli mchongo unafanikiwa, lakini haohao hawawezi kuandaa dokezo la maana la mradi. Mbaya zaidi, ikitokea kuna mtu ana upeo mkubwa na uwezo wa kutoa solutions za changamoto, atachukiwa na kupigwa vita kuanzia waziri, katibu, mkuu wa taasisi na benefiries wa udhaifu, mwishowe utengenezewa zengwe ili aonekane hajui kitu. watu wanapenda ku maintain status Quo ili waendele kupiga fedha za umma.

Ili kuishi katika mazingira ya sasa baadhi ya wasomi wameamua kujifyatua tu ili mambo yaende na wattoto wapate mlo.

Mungu atusaidie
Na byie mliopo kwenye ofis za umma tena mujitqhid sana .mkuu wa taasis akae chin aandike mirad mana ni Phd sio kutwa kuwasha gari kulalaallia barabaran,mana gari inakua mpaka na mswaki kwa safari,tuna mashirikiano na nchi zote duniani ni kias cha kuandika tu,wale us embasy wanatoaga mpaka na theme na format na area of study uliza sasa nan kaandika,
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Huyo atakuwa na shida zake, or angalia masters ya kitu gani. Angeomba msaada. Sio mastars wote hawawez omba hela za mradi, wapo majembe hadi diploma yanaandika mkeka unaeleweka. Na ni suala lanuzoefu, huko alipotoka alikuwa ana andika au ana andikiwa?
 
Mkuu ni kweli hali ya uwezo wa baadhi ya watumishi wa Umma inasikitisha na kukatisha tamaa.

Ingawa siungi mkono google search, Tafsiri ya ulichoandika ni kuwa weledi wa watumishi wa Umma upo chini.
Nakubaliana nawe, kuna viashiria vingi vinavyoonyesha kuwa baadhi ya watumishi wa umma hawana weledi stahili kwenye utendaji, uongozi na nafasi za kisiasa. Udhaifu unaonekana katika maamuzi, ubunifu, na utekelezaji wa sera.

Zamani ilikuwa vigumu kwa mtu anayefanya kazi kufaulu na kupata shahada au stashaha. wengi walikuwa wana discontinue au wanafaulu kwa tabu sana kutokana na utu uzima au uwezo wao kuwa mdogo. Lakini kwa sasa ni rahisi zaidi kwa watumishi kufaulu vyuo vikuu kuliko watoto wanaotoka A'level directly. Hii inatokana na ukweli kuwa sasa kuna njia mbadala nyingi za kufaulu vyuoni kuliko jitihada na uwezo wa mwanafunzi. Ukiwa na ushawishi, ni rahisi kupata B, M hadi PhD wewe tu na mbinu zako. Hivyo undeperomance kwa graduate wa sasa siyo kitu cha kushangaza.

Katika Ofisi fulani kuna mtaalamu ana MBA na CPA lakini anakodi watu wamwandikie riport na majibu ya CAG. Kuna mtu ni wakili aliyesajiriwa lakini hawezi draft mkataba. Kuna mtu ni Katibo Mkuuu lakini hawezi kutafsiri ripoti ya andiko la mradi. Unakuta watu wamevaa suti zimewakaa wanakula uapisho, unajua yes sasa taasisi itafufuka, akifika ofisini utatamani aliyetumbuliwa arudishwe!

Yaani huwa inashangaza kumkuta Katibo mkuuu, wakurugenzi na wasomi wanapambana ili kupiga pesa za posho za safari au ku overestamate bajeti kwa dhumuni ya kuiibia serikali. Watu kama utani wanakutana baa kujadili namna ya kuandaa dokezo la kupiga pesa, na kweli mchongo unafanikiwa, lakini haohao hawawezi kuandaa dokezo la maana la mradi. Mbaya zaidi, ikitokea kuna mtu ana upeo mkubwa na uwezo wa kutoa solutions za changamoto, atachukiwa na kupigwa vita kuanzia waziri, katibu, mkuu wa taasisi na benefiries wa udhaifu, mwishowe utengenezewa zengwe ili aonekane hajui kitu. watu wanapenda ku maintain status Quo ili waendele kupiga fedha za umma.

Ili kuishi katika mazingira ya sasa baadhi ya wasomi wameamua kujifyatua tu ili mambo yaende na wattoto wapate mlo.

Mungu atusaidie
Kama utafuatilia sana kazini watu wengi wanachoka wakifanya kazi kuanzia miaka 5 na kundelea , hapo wanaanza kutafuta vyeti vya masters na kuendelea ili wapate vyeo na pesa rahisi.

Ofisi nyingi sana bado senior na managers wanasumbua subordinates kuwaandalia mambo yao kibao , kiufupi wanakosa exposure kazi inabaki kugombania safari...Ukiona taasisi kubwa haina maslahi basi tambua uongozi wa hapo ni ovyo kabisa.

Katika kila mwaka wa fedha kama hivi kuelekea mwezi wa sabab, basi taasisi zinaandaa report zao kama proposal katika operations zao pamoja na kuomba pesa. wengi kati ya zile Taasisi za ovyo wanashindwa kabisa kupeleka ripot mwishoe wanabaki duni.

Zipo Taasisi wanaomba posho za field watu kwa wafanyakazi wao wanaenda mpaka nje na kuandika ripot binafsi , nyongeza za per diem na posho mbalimbali, hata kuendesha mifumo binafsi ya ulipaji ndani ya Taasisi achana na hawa wanaoutumia check number wamejishindwa kabisa kuanzia uongozi...Uelewa wa kufanya mambo ndio unaona baadhi ya Taasisi hazina watu makini wa kubuni uendeshaji na maslahi.

Zipo Taasisi hapa bongo zimeomba pesa za kufundisha watu mifumo ya AI , tena wana hoja za maana ila nyingine mpaka sasa hata e-office hamna . Tatizo la kukosa exposure ni baya sana watu wanapenda pesa rahisi bila ya kuhangaisha akili.​
 
Na byie mliopo kwenye ofis za umma tena mujitqhid sana .mkuu wa taasis akae chin aandike mirad mana ni Phd sio kutwa kuwasha gari kulalaallia barabaran,mana gari inakua mpaka na mswaki kwa safari,tuna mashirikiano na nchi zote duniani ni kias cha kuandika tu,wale us embasy wanatoaga mpaka na theme na format na area of study uliza sasa nan kaandika,
Wakuu hao ni watu wa siasa . Yye akishapata per diem na safari za uhakika basi hana mpango wa kuandika miradi ya maana.
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.

SASA SI UNGEMWAMBIA HUKO OFISINI? AU UNAAMINI ANA ID HUKU? MKIZIMANA PESA HUKO MNAKUJA KUCHAMBANA JF. BURE KABISA NINYI MADOGO.
 
wakenya elimu yao ipo juu by far kulinganisha na sisi. Ni vigumu kwa mtanzania kushindana na mkenya kiweledi ndio maana kwenye ajira za kimataifa wanatuacha. sisi level zetu ni Malawi, Comoro, Msumbiji, Burundi na somalia
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mkuu nilipitia uzi wenu ule wa miradi mlikuwa mnabishana sana nikasoma kimyakimya kila hoja. Sikuchangia sababu sijui kitu uko. Sasa huwa najiuliza hivi ni lazima muandishi ajue lugha vizuri sana bila chenga kuandika na kuzungumza, na ni lazima afanye presentation uso kwa uso.
Jololo muongo muongo sana humu namfaham kwao mtwara pale nalindele. Msimsikilize sana ila mradi kuandika sio poa! Ujipange hasa
 
Achana na li mradi lote, we mwambie mtu yupo taasisi nyeti aandike "Concept note" yaani aweke tuu wazo la mradi kwenye maandishi. Utaona anavyohangaika. Tuna safari ndefu sana hii nchi. 😁
Kinachosumbua kwenye conceptional ni uniqueness/modus operandi. Mana hatujitaji tena kuwa na mawazo yaleyale.. miradi ya matengezo, ya biashara au social initiatives yanahitaji vichwa vya aina tofautitofauti.

Mtoa mada naye hili sijui kama analijua au la
 
Uandishi wa miradi unakwenda zaidi ya kujua lugha mkuu. Ni uwezo wa mtu kutunga, kubuni na kuyaweka mawazo yake katika hali ya utaalamu yaani mtiririko. Lazima uwe na kichwa kizuri, exposure ya nyanja husika na uzoefu na utaalamu.
Chukua hii: watu wengi huandika miradi haipimiki (No performance indicators) na haitekelezeki (Difficult to implement). Kama yule alieandika Dege Eco Village Kigamboni. Ni mfano mdogo.

Hii ni taaluma na ni kipawa pia, maana kuweka mawazo yako kwenye maandishi ya kitaalam sio jambo dogo.
Uandishi wa miradi hauathiri chochote utekelezaji wake. Mana kama ilimake sense mpaka pesa ikatoka ujue tayari mradi ulikuwa tentative.. kufeli kwa mradi kunawez kuchagizwa na quality ya wafanyakazi. Mana hiyo ni case nyingine serious kwenye ufanikishaji
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Oya uyo msomi kwan yupo umu??
 
Mnasemea kule jalalani Kwa Paramagagagagaga.......m.............b......a sina Budi.

Vyuo vyetu hakuna kitu.
Ukiwa na hela yako unatoka na cheti kizuriiiiiiiiiii.
Mademu,ukiwa mkali unatoka na cheti kizuriiiiii bila hata kujisomea.




Ila ni Tz pekee,elimu inayopimwa kwenye kalatasi na sio kichwani.


Msukuma Kasheku ana akili zaidi ya wasomi wetu PhD holders 90 wa tzs🤣🤣🤣🤣🤣
 
Inashangaza unakuta mfanyakazi mwenzako kasoma Sawa ana master ila kuandika kuomba hela za miradi Kwa ma donors wetu hawezi sijui niseme hana idea wakati kila kitu kipo Google ni yeye kusuka tu wazo la hela ya kawaida wazungu Wana hela kibao hakuna PA kuzipeleka ziko hewani.

Mtu kijana under 40 msomi wa level ya master unabaki kugombania hela za per diem za ndani nako ni pesa madafu tu nini tofauti yako na uliowazidi shule?

Wewe ulipaswa uwe unaandika lipitishwe bora likataliwe ila upewe sababu utarekebishwa andika andika andika tena lazima ipo siku litatiki uka coordinate Michongo. Hela za mabadiliko ya tabia ya nchi zipo kama zote mamifuko yanatoa.

Mavyeti kibao unabaki kutumia Google ku watch nonsense everyday.
Wasomi wa Tanzania ni wa vyeti Sio utendaji
 
Mwaka 2016 nilibahatika kuhudhurua annual technical meeting ya NGO moja hv ambayo ilikuwa imefadhiliwa mradi wake na UNEP kuhusu mambo ya climate change, wale jamaa walikuwa wametengewa bilioni 100 kwa miaka mitatu. Ndani ya mwaka mmoja walikuwa wametumia 38 bilioni. Kwa ufupi mradi ulikuwa uwe wa serikali, ila naona ile NGO ndio ilikuwa inaishirikisha serikali coz fund zilipitia kwao. Jamaa walikuwa wanajiandalia tu study tour mara sijui Moroco sijui Indonesia na per diem za kufa mtu. Ukitumia akili hela za mabeberu zipo hazina matumizi.
DU? Hao ndio wanatuharibia jina na kufanya tuchunguzwe sana kabla ya kufadhiliwa miradi....
Mradi unatakiwa ufanyike kwa ufanisi wa 90 to 98%; ukitaka kula hela; andika mradi kwa gharama za Ulaya halafu utekeleze kwa gharama za kitanzania ili hela Ibaki nyingi ....hao wanao kwenda kufanya vikao Malta sijui Dubai.....eti ili hela iishe sikubaliani nao kabisa kwani wafadhili wakiwa makini wanaona ni ubadhirifu wa hela za mradi.
Fanya study tour za kueleweka sio unatoka nchi masikini unaenda kulala 5star hotel wakati wafadhili wenyewe wanalala 3star hotel

Wangejustify kwa kuwa na timu kubwa ya watu wa kusaidia nk nk nk
Natamani sana watu wapate hela ila natamani pia watu watekeleze walicho ombea fedha na sio kuandika miradi ya kitapeli.....
 
Kama utafuatilia sana kazini watu wengi wanachoka wakifanya kazi kuanzia miaka 5 na kundelea , hapo wanaanza kutafuta vyeti vya masters na kuendelea ili wapate vyeo na pesa rahisi.

Ofisi nyingi sana bado senior na managers wanasumbua subordinates kuwaandalia mambo yao kibao , kiufupi wanakosa exposure kazi inabaki kugombania safari...Ukiona taasisi kubwa haina maslahi basi tambua uongozi wa hapo ni ovyo kabisa.

Katika kila mwaka wa fedha kama hivi kuelekea mwezi wa sabab, basi taasisi zinaandaa report zao kama proposal katika operations zao pamoja na kuomba pesa. wengi kati ya zile Taasisi za ovyo wanashindwa kabisa kupeleka ripot mwishoe wanabaki duni.

Zipo Taasisi wanaomba posho za field watu kwa wafanyakazi wao wanaenda mpaka nje na kuandika ripot binafsi , nyongeza za per diem na posho mbalimbali, hata kuendesha mifumo binafsi ya ulipaji ndani ya Taasisi achana na hawa wanaoutumia check number wamejishindwa kabisa kuanzia uongozi...Uelewa wa kufanya mambo ndio unaona baadhi ya Taasisi hazina watu makini wa kubuni uendeshaji na maslahi.

Zipo Taasisi hapa bongo zimeomba pesa za kufundisha watu mifumo ya AI , tena wana hoja za maana ila nyingine mpaka sasa hata e-office hamna . Tatizo la kukosa exposure ni baya sana watu wanapenda pesa rahisi bila ya kuhangaisha akili.​
We unasema AI ilhali mtu hata laptop hana,alipo hapo ana top up ,ukicheki posho kwa mbinde zote anakaba mkurugenzi anasafir peke yake,na cycle yake anayoitaka,sasa ubunifu utoke wap ikiwa mpaka sasa hiv kuna sehem wanahaingaika kufundishq mifumo hatarishi ili mrad wavipanguse vifungu ,siwez kuwa na idea ilihali nimechoka sana mpaka nikutanishe mwez kipengele
 
Back
Top Bottom