Anza na mama yako, wewe na shangazi zako tuone kama nyie sio flat screen cuma wewe.Weka picha basi ya mama yako na dada zako
Sent using Jamii Forums mobile app
uandae maelezo ,maana si kwa kunisusa huku,au kisa mie flat jmn😢😢Ntakucheki baadae bebe
uandae maelezo ,maana si kwa kunisusa huku,au kisa mie flat jmn😢😢
😂😂 unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa ,Mi nimenuna😒😒😒Sijakususa Katoto kangu. Mambo mengi tunakimbizana na mahitaji.
Flat yako nimeikubali ndio maana Moyo wangu unayoyoma juu yako.
Gari kubwa ni za kuuzia sura lakini Gari ndogo ni za muda wote
😂😂 unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa ,Mi nimenuna😒😒😒
una unga mkono....?aibu nimeona Mimi
ila naunga mkono hoja
😘 am waiting MrJamani Chamdeko wangu umenuna mara hii. Nakuja kukupa kile ukipendacho. Sawa Chamdeko wangu
Kuhusu hilo hata mimi sijui ila mimi huwa naongea kile nnachoona nakijua bila kujali mimi niko upande upi wa hiyo hoja
😘 am waiting Mr
Mimi flat screen njoo pm nikutongoze shwaini wahedi
Mimi flat screen njoo pm nikutongoze shwaini wahedi