Inakuaje mtoto anageuzwa kitega uchumi?

Inakuaje mtoto anageuzwa kitega uchumi?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Jamani hivi inakuaje unamugeuza mtoto wako kuwa kitega uchumi?

Yaani unawaza mpunga mpaka unamgeuza mwanao kitega uchumi?

Au ndio kutafuta umaarufu?

Vyombo vya kutetea haki za watoto mkuje huku Bongo watu wanakiuka haki za watoto.
 
Sumu ya panya mende viroboto kunguni sumu ya panya... pangusa, utango utango, sungu sungu, upele, mapunye... lakini kuonja bureeeeeeee!!!
NMB.jpg Tiffah.jpg
 
jamani hivi inakuaje unamugeuza mtoto wako kuwa kitega uchumi? yaani unawaza mpunga mpaka unamgeuza mwanao kitega uchumi? au ndio kutafuta umaarufu? vyombo vya kutetea haki za watoto mkuje uku bongo watu wanakiuka haki za watoto.

Kwanini wewe ni Ali Kiba? Diamond alikufanya nini?
Du naona wewe hulali kabisa unamuwaZa Daimond
Piga kazi kila kitu kinawezekana, wivu utakufaa wewe
 
Yaani watz ndio maana masikini mtu na akili zake kabisa ana post haya. Mimi uwa natembelea humu japo nikutane na great thinkers lkn mmh kazi tunayo
 
Kwanini wewe ni Ali Kiba? Diamond alikufanya nini?
Du naona wewe hulali kabisa unamuwaZa Daimond
Piga kazi kila kitu kinawezekana, wivu utakufaa wewe

mkuu mimi sijataja jina la mtu hapa na wala sikumaanisha dimond sawa nimeleta hoja hapa tujadili sawa hayo mengine wasema wewe mi simo
 
Yaani watz ndio maana masikini mtu na akili zake kabisa ana post haya. Mimi uwa natembelea humu japo nikutane na great thinkers lkn mmh kazi tunayo

mkuu hii mada ina ukweli ndani yake
 
Mwambie kibakuli nae awatafutie ubalozi watotowake kama ataweza tatizo mvuto wa kistaa hakunaaa

Yani Tiffah alivyo na nyota kapata mikataba yenye pesa nyingi ambayo kibakuli kutengeneza anasota saana

Mfano mkwanja aliopiga PUGU MALL siku anazaliwa tu!! ilikuwa millioni 50, achana na endorsement ya shopping ya millioni 1 kila mwezi mwaka mzima jumla 62 million.. WE KUTWA KUPIGA KELELE KUHUSU TIFFAH, NI KWASABABU YA WIVU TU, maana kibakuli kutengeneza pesa ya siku hiyo kwa kichanga anatengeneza nusu mwaka hahahahaha bado hajazipunguza kwa mejialabi .... HAPO BADO NMB ambao ndio wametishaaaaaaa bado tv rights CLOUDS TV...



MINYOOSHO INAENDELEA
 
jamani hivi inakuaje unamugeuza mtoto wako kuwa kitega uchumi? yaani unawaza mpunga mpaka unamgeuza mwanao kitega uchumi? au ndio kutafuta umaarufu? vyombo vya kutetea haki za watoto mkuje uku bongo watu wanakiuka haki za watoto.

Huna kitu kingine cha kuandika hapa ? Sidhani hata Ally Kiba anamchukia Diamond kiasi hiki.
 
Mwambie kibakuli nae awatafutie ubalozi watotowake kama ataweza tatizo mvuto wa kistaa hakunaaa

Yani Tiffah alivyo na nyota kapata mikataba yenye pesa nyingi ambayo kibakuli kutengeneza anasota saana

Mfano mkwanja aliopiga PUGU MALL siku anazaliwa tu!! ilikuwa millioni 50, achana na endorsement ya shopping ya millioni 1 kila mwezi mwaka mzima jumla 62 million.. WE KUTWA KUPIGA KELELE KUHUSU TIFFAH, NI KWASABABU YA WIVU TU, maana kibakuli kutengeneza pesa ya siku hiyo kwa kichanga anatengeneza nusu mwaka hahahahaha bado hajazipunguza kwa mejialabi .... HAPO BADO NMB ambao ndio wametishaaaaaaa bado tv rights CLOUDS TV...



MINYOOSHO INAENDELEA

kuwa na heshima kwa Alikiba kwanini umuite kibakuli shwain wewe.
 
Mwambie kibakuli nae awatafutie ubalozi watotowake kama ataweza tatizo mvuto wa kistaa hakunaaa

Yani Tiffah alivyo na nyota kapata mikataba yenye pesa nyingi ambayo kibakuli kutengeneza anasota saana

Mfano mkwanja aliopiga PUGU MALL siku anazaliwa tu!! ilikuwa millioni 50, achana na endorsement ya shopping ya millioni 1 kila mwezi mwaka mzima jumla 62 million.. WE KUTWA KUPIGA KELELE KUHUSU TIFFAH, NI KWASABABU YA WIVU TU, maana kibakuli kutengeneza pesa ya siku hiyo kwa kichanga anatengeneza nusu mwaka hahahahaha bado hajazipunguza kwa mejialabi .... HAPO BADO NMB ambao ndio wametishaaaaaaa bado tv rights CLOUDS TV...



MINYOOSHO INAENDELEA
 
Alikiba Alikiba wataelewa tu
Wakati nyinyi munatusubiri sisi tumuelewe huyo kibakuli wenu ACHENI HUYU ANAYEPIGA HELA NA TULIYEMUELEWA KWAMBA ANAJUA KUTUMIA FULSA na atumie fulsa bila ya maswali yenu.
 
Back
Top Bottom