Inakuaje mtu unajiua sababu ya mpenzi?

Inakuaje mtu unajiua sababu ya mpenzi?

Mimi nimeshapenda mpaka kupitiliza.Na nimeshaumizwa sana kama sijajiua kipindi hiko sijui kama nitajiua tena.

Good....you are brave....

Kuachwa inauma ila mie mwenzenu sijui nna roho mbaya au vipi kama umenichoka nshaona dalili nasepa hata kama naumia kiasi gani mambo ya kumng'ang'ania mtu hapana na haitatokezea tukishamalizana ndio basi imetoka hiyo nasema na moyo wangu basi wanaume wamejaa tele nkajiue kisa nini?
 
nakupotezea tu kama vipi kwani ambacho nakuganda ni nini hasa

hivi dada unajua upendo ni kitu kibaya sana haswa unapopendana na mtu halafu mnabwagana jua hapo mwanamke anakua na jeraha zito sana ambalo litamfanya ajione siyo mtu kabisaa machoni pa watu ijapokuwa nasiye men huwa hvyo kwa wanawake tunaowapenda
 
Unapoachwa inabidi ukubaliane na kilichotokea pale unaposhindwa ndani ya moyo na akili kukubali ndipo inapopelekea kutoa maamuzi ambayo baada yanachukua maisha kama kunywa sumu au kuua nk. Kuachwa na umpendaye inauma sana lakinu nawe unatakiwa kuona kwamba hapo sio mwisho wa kupenda au kupendwa
 
hii hutokana na kujitoa sana kwa kuwekeza kiasi chote cha upendo ulicho nacho kwa umpendae,inafika stage hata unavojipenda ww haifui dafu kwa mwenzio hivo unapotendwa unakua na asilimia asilimia chache kwako hivo asilimia nyingi za kujichukia na kujutia,hapo humwamini yeyote kwa mda huo hata kuomba ushauri inakua ngumu,maamuzi ya mwisho yanafikia kujitoa uhai..
solution.ukitendwa au kuumizwa kaa chini tafakar,ni upendo gani uliojitoa usioweza kuurudisha?
2.fikiria ni wangapi wamepitia hali kama yako na wakafanikiwa.
3.kumbuka you are not alone,huu ni ulimwengu wa watu kama bilioni 7 hutakosa atakaekupa msaada wa mawazo au atakayekupa faraja zaid ya yule.
4.anza kujipenda mwenyewe.
5.samehe,sahau na kupotezea kabisa.
6.kumbuka bado maisha ni matamu,uendako hupajui
 
Good....you are brave....

Kuachwa inauma ila mie mwenzenu sijui nna roho mbaya au vipi kama umenichoka nshaona dalili nasepa hata kama naumia kiasi gani mambo ya kumng'ang'ania mtu hapana na haitatokezea tukishamalizana ndio basi imetoka hiyo nasema na moyo wangu basi wanaume wamejaa tele nkajiue kisa nini?

Mpenzi wangu wakwanza alivyo niacha nilipata tabu sana nilikuwa kila nikikaa dakika tano namuwaza yeye lakini kwa sasa nishakuwa mzoefu wala mwanamke hanibabaishi niko busy na maisha.
 
Roho chafu tu....hiyo mapenzi inakuwa ni immediate cause mpango wa kujiua unakuwa ulishakuwepo
 
hivi dada unajua upendo ni kitu kibaya sana haswa unapopendana na mtu halafu mnabwagana jua hapo mwanamke anakua na jeraha zito sana ambalo litamfanya ajione siyo mtu kabisaa machoni pa watu ijapokuwa nasiye men huwa hvyo kwa wanawake tunaowapenda

ukiendekeza hizo imani zako utachelewa kufika
 
Mpenzi wangu wakwanza alivyo niacha nilipata tabu sana nilikuwa kila nikikaa dakika tano namuwaza yeye lakini kwa sasa nishakuwa mzoefu wala mwanamke hanibabaishi niko busy na maisha.

Kula tano maisha matamu sana na kuna vingi vya kupatia furaha ati........
 
Kuna jamaa yangu juzijuzi kachukua kamba kajinyonga kisa mkewe kashtukia jamaa amezaa Na mwanamkE Mwingine.
 
Sometimes inakuwa ni kukosa washauri.haiwezekani uumizwe harafu ukaombe ushauri kijiweni unategemea nini?
 
Back
Top Bottom