ni kawaida bhana, me pia shule nilio malizaga enzi hizo tulipata dvs 1 na two, three zilikuaga 5 tu hakuna 4 wala 0Sio kawaida
Shule nilisoma hii.Yani shule ya serikali haina division 4 wala zero?
Kawaida mzee Form 6 hiyo...shule niliyosoma mimi ya serikali tangu miaka hiyo haijawahi kutoa four wala zero mpaka matokeo ya leoYani shule ya serikali haina division 4 wala zero?
Bado unadhani Shule za A-level ni za kata?Yani shule ya serikali haina division 4 wala zero?
Uache kuuliza ujunga bana wwYani shule ya serikali haina division 4 wala zero?