Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

Una tako kwanza dada au unaongea tu .
 
Alafu Usikute wewe ndie unaeteseka na ndoa
 
Haya mambo ya kupenda penda sjui unataka umuoe ni upuuzi tu...piga sepa
 
Mnarogwaga bana weee!..ukalishe mijitu weeee

Sio kurogwa wanaume hatunaga muda wa kuwaza nani anakula sana kuliko wenzie au anatumie umeme sana(uchoyo)tunatafta hela tunaleta home tu.
 
Ongea yote ropoka yote ila as a man nikikuigno huna jipya duniani.
 
Once the most pressing need i satisfied we move on to the next need

Ndio nature ya binadamu si wanawake tu
No this is actually hypergamy wala sio needs. Na hypergamy kupitia social studies zimeonyesha ipo ndani ya mwanamke sio kila binadamu. Kuna needs na expectations, kukosa needs ni tofauti na kukuta low expectations. You can have needs lakini ukawa na very high expectations, ukaona hapa sio sahihi. Nahichi ndicho wanawake wengi wanacho. Kila kitu hujengwa ili kiwe kizuri bali still wanawake wengi hawakubaliani na hicho ila sio wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They married upwards si wangetulia sasa...
Nini kimewarudisha Misri?
Ni need ya ndoa iko satisfied ila wanamiss the true love they enjoyed prior..

Hypergamy is not a problem ndivyo ilivyo ili kusaidia mume uheshimike kwenye ndoa

Btw i thnk bora hao mabinti walifata ndoa
Mana hao wanachuo wenzao kuoa ilikua bado sana
Wanakuja kuoa at 35 na wanataka wadogo wa 25

Maamuzi sahihi
Ni suala tu km wote mnataka kupasha kiporo pasheni maisha yaendelee
 
Sasa what's the point of entering marriage kama unajua haujaridhika. Kila kitu huwa na kiasi, na unapoapa kuwa ndio nimeingia ndani ya ndoa basi iheshimu lasivyo itabaki kusemwa ndoa ni scam na wala sio ya muhimu. Pia mtaka yote kwa pupa hukosa yote, kama ulishindwa kupata true love huko nyuma nani kakwambia utaipata sasa isipokuwa kwa mume wako ukiacha wazazi pembeni.
Pia hao mabinti hawakufanya kitu chema bali wamejiwekea regrets huko mbeleni maana ndoa sio games bali majukumu ambayo huitaji kujitoa ili uyafanikishe. Watafanya upumbavu ambao huja kuharibu ndoa zao kwamikono yao kwakutumia hiyo reason yako ya "true love". Pia mwanaume au mwanamke anayepasha kiporo ni mpumbavu na anafanya uzinzi au uasherati, pia umeidhihaki agano la ndoa. Ndio maana nikasema, basi tubaki kusema ndoa ni scam. Ridhika na maisha yako nafanya jitihada kufika mbali zaidi ya hapo, but there is never a shortcut in life. Everything has a cost and everypath has consequences.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wakajiulize
Na zaidi wajiulize wanaume mana ndo hawatosheki
 
Sio kurogwa wanaume hatunaga muda wa kuwaza nani anakula sana kuliko wenzie au anatumie umeme sana(uchoyo)tunatafta hela tunaleta home tu.
Lool! acha uongo! kuangalia anaekula sana si uchoyo bali ni akili ya kisomi na ili kuongeza Bajeti ndani!! ndo kazi yako uwe na ufahamu wa watu wa ndani mwako!!

Hapo kiwango cha IQ yako kitakuwa chini ya kiwango sasa km mwanao anakula sana ajili ya minyoo minyoo! je?? utaendelea kuleta hela tu?? km juha bila kutizama na kujiuliza?

Lazima ujiulize huyu anaumwa au mzima !! ili umsaidie kumpeleka kwa daktari! lkn pia uongeze au upunguze bajeti!! ukiona mtu/baba hachunguzi basi huyo ni Bonge la mchoyo iko siku hatarudi hapo nyumbani!
 
Ongea yote ropoka yote ila as a man nikikuigno huna jipya duniani.
Lkn pia ! jishebedue tu! hapo nyuma ya key board, Kumbuka ni sisi hawa hawa! tume-kukunya kama jivi/kimba lisilo kuwa na thamani, ambalo tunge weza kuku-flash tu! dakika sifuri na

ukapotelea kwenye kinyesi huko/Septic tank forever!! na Nyenyere weusi waka kukula! asa mtu wa kuliwa na nyenyere ukiwa mzima una la kusema kweli? au umelewa mataptap! dogooo??

Leo weye unayasema haya?? au umeamua kuropoka tu mkuu??...na hata leo/sasa tunaweza kukupoteza mazima ukiwa kwenye Nyapu tu hapo! ukapotea kwa amani kabisaa!! tena siulizwi!

Wapo wenzako km weye!! wengi tu kwa Mamillioni, hawakuiona hii Dunia, mpaka sasa kuna wenzako wanaliwa na nyenyere!! tena siyo Mbali nenda hapo Marie stop tu, Mwenge uone Muziki wetu! tunavo wanyonga Mbuzi nyie!

siyo kwamba hujui unajua vyema na fika sana tu!!...hakika niamini Mimi! na wewe ulistahili kuwa mmoja wao hao! na km siyo?? ndo njia unayoelekea soon!!.... Narudia iviii mlishaambiwa ''uishi nao kwa akili''

sasa akili zako weye naona unastahili nyenyere weusi!! wakukule ukiwa na ufahamu wako! maana mkuu una ishi nao kwa kutumia Makalio! ukikosea tu adahabu hii inakuhusu!! make hamjaagizwa hivyooo!! .....

siyo km hizi akili zako!! na km ni ivi zita ku-cost one day! nakwambia hutaamini utakacho kiona mbele yako Live!!..endelea kucheza cheza ivo iko siku si mbali utaona moto wa fire!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…