Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

Nilisha simuliwa story hizi nyingi za mwanamke kumwacha ampendaye kisa kampata mwengine mwenye hela.

Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja.

Huyu mwana niliyejuana naye kwenye mapindi Mchikichini, yy demu wake alianza naye tolea Secondary, mwana yupo A-Level na dem O level (kampita madarasa matatu).

Bahati nzuri mwana alivyo maliza chuo akapata kazi na demu naye akaingia chuo UD,mwana alikuwa anamsapoti demu zile hela za matumizi chuo.

Hee kumbe kule alipokuwa akifanya field kwa miaka miwili, akaanza mahusiano na jamaa mwengine ambaye yupo vizuri kiuchumi.

Demu anamaliza chuo, akatafutiwa kazi na yule jamaa mwana hajui, sasa nakumbuka kama sikosei 2016 au 15 mwana akatuambia mimi mwaka huu nataka kuoa, tukamwambia poa oa tutakupiga tafu, baada miezi mitatu demu katolewa mahali na kapewa mkoko wa kumtembelea, mwana anaambiwa na yule demu alichoka baada kama miezi 5 demu akaolewa.

Daah mwana alipungua hana raha mwaka mzima siku zikaenda kama baada ya mwaka na nusu baada ya ndoa,yule demu karudi kwa mwana eti wawe wapenzi kisirisiri mme wake asijue, mwamba kampiga stop kwamba asimsumbue still demu mpaka sasa bado anamsumbua mwana na mwana hana time nae.

Huyu pili yy demu walikuwa wana miaka miwili, demu alimaliza chuo ila hakuwa na issue mwamba alikuwa anapata projects hizi za miezi sita,mitatu, mwaka.

Nakumbuka 2017 kuna project tulipiga wote by mwezi wa 10 ,projects ikaisha tukaambiwa kuna nyingine ina sites kama 1600,ila Bahati mbaya ile tenda hawa kuipata.

Nakumbuka sasa 2018,mwana akawa anapitia msoto yule demu 2018 kapata kazi akawa anamletea dharau mwana, akitoka ofisini anarudishwa na mkoko mpaka home, baadae akaamua kumchana waachane kwani kapata mwengine.

Daah mwana alichoka sana kwanza stress za kuwa hana kazi pili za kuachwa na demu

Mwamba nae 2019 February anapata kazi mshahara 2.3m,mwana kidogo sasa yupo vizuri.Baada ya miezi kama 5 ya mwana kuanza kazi ,demu anarudi naye anamwomba mwana wawe wapenzi kisirisiri, daah kwanza mwana alimtukana,akampiga biti hasithubutu kumtafuta wala kumtafuta kwenye simu kwani ana mahusiano mapya.

Na hawa mabinti wote waume zao ni wana hela ndefu, kuliko hawa mwanangu kwani yule kwanza anakunja 1.9m na wa pili 2.3m ila leo kesho wanawasumbua wana.

Sasa na jiuliza inakuwaje unamwacha mtu unayempenda kwa dhati kisa fedha then kesho unaomba urudiane nae hivi huwa mnafikiria nini.
Ukiona hivo ujue nae alienda kutafuta pesa atumie na x-wake kama mume anavotafuta pesa atumie na mkewe . so akipata anakumbuka home
 
Nilisha simuliwa story hizi nyingi za mwanamke kumwacha ampendaye kisa kampata mwengine mwenye hela.

Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja.

Huyu mwana niliyejuana naye kwenye mapindi Mchikichini, yy demu wake alianza naye tolea Secondary, mwana yupo A-Level na dem O level (kampita madarasa matatu).

Bahati nzuri mwana alivyo maliza chuo akapata kazi na demu naye akaingia chuo UD,mwana alikuwa anamsapoti demu zile hela za matumizi chuo.

Hee kumbe kule alipokuwa akifanya field kwa miaka miwili, akaanza mahusiano na jamaa mwengine ambaye yupo vizuri kiuchumi.

Demu anamaliza chuo, akatafutiwa kazi na yule jamaa mwana hajui, sasa nakumbuka kama sikosei 2016 au 15 mwana akatuambia mimi mwaka huu nataka kuoa, tukamwambia poa oa tutakupiga tafu, baada miezi mitatu demu katolewa mahali na kapewa mkoko wa kumtembelea, mwana anaambiwa na yule demu alichoka baada kama miezi 5 demu akaolewa.

Daah mwana alipungua hana raha mwaka mzima siku zikaenda kama baada ya mwaka na nusu baada ya ndoa,yule demu karudi kwa mwana eti wawe wapenzi kisirisiri mme wake asijue, mwamba kampiga stop kwamba asimsumbue still demu mpaka sasa bado anamsumbua mwana na mwana hana time nae.

Huyu pili yy demu walikuwa wana miaka miwili, demu alimaliza chuo ila hakuwa na issue mwamba alikuwa anapata projects hizi za miezi sita,mitatu, mwaka.

Nakumbuka 2017 kuna project tulipiga wote by mwezi wa 10 ,projects ikaisha tukaambiwa kuna nyingine ina sites kama 1600,ila Bahati mbaya ile tenda hawa kuipata.

Nakumbuka sasa 2018,mwana akawa anapitia msoto yule demu 2018 kapata kazi akawa anamletea dharau mwana, akitoka ofisini anarudishwa na mkoko mpaka home, baadae akaamua kumchana waachane kwani kapata mwengine.

Daah mwana alichoka sana kwanza stress za kuwa hana kazi pili za kuachwa na demu

Mwamba nae 2019 February anapata kazi mshahara 2.3m,mwana kidogo sasa yupo vizuri.Baada ya miezi kama 5 ya mwana kuanza kazi ,demu anarudi naye anamwomba mwana wawe wapenzi kisirisiri, daah kwanza mwana alimtukana,akampiga biti hasithubutu kumtafuta wala kumtafuta kwenye simu kwani ana mahusiano mapya.

Na hawa mabinti wote waume zao ni wana hela ndefu, kuliko hawa mwanangu kwani yule kwanza anakunja 1.9m na wa pili 2.3m ila leo kesho wanawasumbua wana.

Sasa na jiuliza inakuwaje unamwacha mtu unayempenda kwa dhati kisa fedha then kesho unaomba urudiane nae hivi huwa mnafikiria nini.
Hawajuagi wanataka nini, ukishakua sawa na hilo.....ishi nalo.
 
Ukiona hivo ujue nae alienda kutafuta pesa atumie na x-wake kama mume anavotafuta pesa atumie na mkewe . so akipata anakumbuka home
Kutafuta pesa kwa kutumia papuchi? Kweli umetisha dada yangu, una njia .mbadala ya kutafuta pesa.
 
mimi naona ni sahihi wafanye hvyo, hyo ni hulka ya wanyama wote, ata swala anatafuta swala dume mwenye pembe ndefu kwa future yake na watoto wake badae, simba jike anachagua madume kwa kuangalia madume mawil yakipambana anaeshinda anamzalia mtoto ili kuleta uzao bora badae, tuwaache wafanye hvyo kwa future ya kizazi kijacho , mwenye kisu kikal atakula nyama , hii pia uchochea hasira za kupambna na maisha ili uwin.
 
Nilisha simuliwa story hizi nyingi za mwanamke kumwacha ampendaye kisa kampata mwengine mwenye hela.

Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja.

Huyu mwana niliyejuana naye kwenye mapindi Mchikichini, yy demu wake alianza naye tolea Secondary, mwana yupo A-Level na dem O level (kampita madarasa matatu).

Bahati nzuri mwana alivyo maliza chuo akapata kazi na demu naye akaingia chuo UD,mwana alikuwa anamsapoti demu zile hela za matumizi chuo.

Hee kumbe kule alipokuwa akifanya field kwa miaka miwili, akaanza mahusiano na jamaa mwengine ambaye yupo vizuri kiuchumi.

Demu anamaliza chuo, akatafutiwa kazi na yule jamaa mwana hajui, sasa nakumbuka kama sikosei 2016 au 15 mwana akatuambia mimi mwaka huu nataka kuoa, tukamwambia poa oa tutakupiga tafu, baada miezi mitatu demu katolewa mahali na kapewa mkoko wa kumtembelea, mwana anaambiwa na yule demu alichoka baada kama miezi 5 demu akaolewa.

Daah mwana alipungua hana raha mwaka mzima siku zikaenda kama baada ya mwaka na nusu baada ya ndoa,yule demu karudi kwa mwana eti wawe wapenzi kisirisiri mme wake asijue, mwamba kampiga stop kwamba asimsumbue still demu mpaka sasa bado anamsumbua mwana na mwana hana time nae.

Huyu pili yy demu walikuwa wana miaka miwili, demu alimaliza chuo ila hakuwa na issue mwamba alikuwa anapata projects hizi za miezi sita,mitatu, mwaka.

Nakumbuka 2017 kuna project tulipiga wote by mwezi wa 10 ,projects ikaisha tukaambiwa kuna nyingine ina sites kama 1600,ila Bahati mbaya ile tenda hawa kuipata.

Nakumbuka sasa 2018,mwana akawa anapitia msoto yule demu 2018 kapata kazi akawa anamletea dharau mwana, akitoka ofisini anarudishwa na mkoko mpaka home, baadae akaamua kumchana waachane kwani kapata mwengine.

Daah mwana alichoka sana kwanza stress za kuwa hana kazi pili za kuachwa na demu

Mwamba nae 2019 February anapata kazi mshahara 2.3m,mwana kidogo sasa yupo vizuri.Baada ya miezi kama 5 ya mwana kuanza kazi ,demu anarudi naye anamwomba mwana wawe wapenzi kisirisiri, daah kwanza mwana alimtukana,akampiga biti hasithubutu kumtafuta wala kumtafuta kwenye simu kwani ana mahusiano mapya.

Na hawa mabinti wote waume zao ni wana hela ndefu, kuliko hawa mwanangu kwani yule kwanza anakunja 1.9m na wa pili 2.3m ila leo kesho wanawasumbua wana.

Sasa na jiuliza inakuwaje unamwacha mtu unayempenda kwa dhati kisa fedha then kesho unaomba urudiane nae hivi huwa mnafikiria nini.
Kuna mengine pesa haiwezi kuyakamilisha kama hili la Kupenda, hili linatoka moyoni wala sio kwenye Wallet
 
Go back to school, get a hobby or something , thats all i can say. All this crap your writing isn't worth it, where do you get it ?. Anyways , when i wrote whatever i wrote i wasn't coming for you personally, it was my opinion on the genpop of women, and put my mom out of this bs ....nothing personal maam, cut the crap and myob.. feel me ?.. Male creatures are dominant, look at all the super rich motherfuckers almost all of them are male..you guys untouchable and broke, hahaha you guys broke af....Anything big in this world is owned by alpha males...
She's got a broken grammar and she ain't even know it...... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dat' fucken, en primitive Bongos' school, ' will take me no where else! I don't even admire a single inch! to be like de way you are! !.... in addition to dat stop dat nonsensical mouth full of worms diarrhoea !!...

it's not true dat ya' jargon wasn't personal attacks!! .... here I' am! on behalf of all women! world wide! who produced u'

including yo! Mom!.......illiterates Young cat can b've like de way you are!! ..but behind de screen Woman control de World! like it or not en....... all women they live Longer!!

All fucken Men! are our slaves, we Drives dem as much as we feel comfortable ! no arguments!! ...unless other wise U'r totally sick up stairs! en' U don't even need med'care assistance /treatment.....

remember de wise has spoken long time ago ''No Woman no cry'' think about it! as if is not enough ''to every successful men Behind there is Woman'' check out! Booo! Mburrrah!
Maybe your father. Anyways, you need help ma'am. You don't look okay.
 
Wanawake wanashangaza sana , haiyumkini kama Mungu atahesabu udhaifu wao wengi wataingia motoni maana they are
Killers
Unpredictable
Unstandable

Mmeachana kesho unasikia eti nipo tayari niwe mke wa pili , yaani amwache mme wake aje awe mke wako na tena maneno hayo unaweza kuyasikia kwa mwanamke tena uliyehisi ana msimamo sana kwa ndoa yake kabisa.


I have decided kumtafuta Mungu tu aisee nisijekosa vyote
 
Dat' fucken, en primitive Bongos' school, ' will take me no where else! I don't even admire a single inch! to be like de way you are! !.... in addition to dat stop dat nonsensical mouth full of worms diarrhoea !!...

it's not true dat ya' jargon wasn't personal attacks!! .... here I' am! on behalf of all women! world wide! who produced u'

including yo! Mom!.......illiterates Young cat can b've like de way you are!! ..but behind de screen Woman control de World! like it or not en....... all women they live Longer!!

All fucken Men! are our slaves, we Drives dem as much as we feel comfortable ! no arguments!! ...unless other wise U'r totally sick up stairs! en' U don't even need med'care assistance /treatment.....

remember de wise has spoken long time ago ''No Woman no cry'' think about it! as if is not enough ''to every successful men Behind there is Woman'' check out! Booo! Mburrrah!
Mbona kama Kuna vi facts fulani
 
hiyo ndio fursa adhimu kabisa ya kumtofoa Jicho huyo binti, mkuu mnakwama wapi? atatue rinda tu
 
Back
Top Bottom