Wala hawajengi SGR 🤣Hawajengi bwawa la nyerere
Ni aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Nchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.
JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
Ya Rwanda, kweni pesa yao iko juu kuliko yetu si tuliambiwa Magufuli katufikisha Uchumi wa KatiElfu mbili ya Rwanda ama ya bongo.
Mama samia kwa swala la tozo za line za simu , swala la TANESCO,na swala la mafuta wajanja wamesha mzid nguvu mwache ademke nao wenzie wamnyooshe maana hajajua wenzie wanakusanya nguvu za kumtoa hapo kwenye kiti wawekane wenyewe.Ni aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Na kungekuwa na ubunifu nchi ingekuwa mbali sana hiiHivi kukaa pembezoni mwa nchi ni KOSA LA ASILI? sioni sababu ya kutoweka mizania katika bei za mafuta nchini. Mbona sukari inayotoka huko Kagera hainunuliwi kwa bei rahisi pale Bukoba? Ubunifu naona umekuwa bidhaa adimu sana hapa Tanzania.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
TRA Rusumo lazima wachukue Kodi zao stahiki ndio uyapeleke NgaraSoko huria, wanaoweza nunueni petroli kutoka Rwanda, wachuuzi wa Ngara watajibeba!
Vituo vya mafuta viko Nyakarambi inakubidi ulipe Road tollIngia Rwanda kunywa mafuta Rudi. Mbona wakenya walipandisha mafuta kabla ya tz kulipa Deni lao. Boda ya sirari ya Kenya pale vijana wanavuka wanakunywa mafuta boda ya sirari ya Tanzania wanarudi Kama kawaida kwao Kenya kupiga kazi. Ndo faida ya watu wa mpakani ama ulijua ni kutafuna wanyarwanda
Kwahiyo mambo ni yale yale...Rwanda 2000/ltr + road tollVituo vya mafuta viko Nyakarambi inakubidi ulipe Road toll
Hivi hizi kodi zote kwenye mafuta lengo lao nini hasa kama sio kuumiza wananchi tuMafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Labda ndivyo Mwigulu anavyoshauri ili kuufufua UchumiHivi hizi kodi zote kwenye mafuta lengo lao nini hasa kama sio kuumiza wananchi tu
Hivi kwenda Rwanda kunahitaji pasport?kwanini ngara wasinunue mafuta Rwanda mpaka wasubiri haya yanayotoka Dar? Hapa inamaanisha ushuru wa mafuta hapa bongo umepanda ,bei ya soko la dunia bado liko palepale.Ni aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Sidhani kama itakuwa kama kwenda Mkoa wa Tabora.Hivi kwenda Rwanda kunahitaji pasport?
Ya TanzaniaElfu mbili ya Rwanda ama ya bongo.