technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Sio manji tu wakina Singasinga, Makonda na wengine kibaoWazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.
Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.
Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.
Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.