Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Sio manji tu wakina Singasinga, Makonda na wengine kibao
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Mbona umeandika maneno tu hapo?nikajua ntakutana na bonge la ushahidi....!
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Nauli zipande ili wananchi wa-riot
 
Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Weka ushahidi hapa maana alifutiwa mashtaka yote na mahakama wakati wa utawala uliopita. Kwani alitokea gerezani wakati anaenda marekani!?!?
 
Weka ushahidi hapa maana alifutiwa mashtaka yote na mahakama wakati wa utawala uliopita. Kwani alitokea gerezani wakati anaenda marekani!?!?
Alifutiwa mashtaka ya kukutwa na sare za jeshi sio ukwepaji kodi ama kuchukua pesa za umma kwenye taasisi na kugome kupeleka huduma.

Ndio maana juzi alipokuja akakamatwa takukuru walisema kwa nini wamemkamata kwamba wakati anatoroka alikua na kesi zilizokua zinachunguzwa za kodi na kukimbia na hela za umma.

Nenda mahakama ya kodi, kesi zinazomhusu manji ni za kutosha.
 
Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Hapo ndio pa kuanzia mjadala huu badala ya kumtukana rais maana kodi hizo zipo miaka mingi tu nyuma serikali hii imeongeza nafikiri tozo moja tu!!! Na tujadili hizo tozo zina tija kwa nchi yetu!?? Mfano EWURA,VETA,SGR n.k
 
Hapo zambia tu ni buku mia saba lita 1740 ila sijui sisi tumelogwa na nani.Tunapiga kodi mpaka aibu maana mafuta ni bidhaa muhimu sana .Hata kama tunataka maendeleo tuende taratibu maana hatuwezi ijenga Tanzania kwa siku kuna vizazi vinakuja nao watajenga .Inafika mahali unaona kama tunakomoana ww uagize gari hiyo kodi mpaka inataka kuzidi bei ya gari sasa huu si uchizi.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Mimi since day one mama anateuliwa nilijua tu lazima achemke... Hii inchi inataka watu wadizaini ya magu uwe mfatiliaji wa mambo na officen usikae!! Sio kukutana mara na mashehe mara mapadri hii haina Tija yoyote kwa taifa... Sasa huu mziki wa kiwese sijui wamewaza nini aisee maana vyuma vitapaki sana walahi yani now mtu mwenye gari ya petrol ukiwa na elfu 10 ni lita 3 na kidogo si uchawi huu walai... Tutegemee pia na bidhaa kupanda bei zaidi maana kiwese ndo uchumi wenyewe yakipanda na bidhaa zinapanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yetu macho kwa sasa wa ufipa karudi ufipan 'na mataga. Kabaki. Utagan [emoji23][emoji12][emoji12]
 
Mimi since day one mama anateuliwa nilijua tu lazima achemke... Hii inchi inataka watu wadizaini ya magu uwe mfatiliaji wa mambo na officen usikae!! Sio kukutana mara na mashehe mara mapadri hii haina Tija yoyote kwa taifa... Sasa huu mziki wa kiwese sijui wamewaza nini aisee maana vyuma vitapaki sana walahi yani now mtu mwenye gari ya petrol ukiwa na elfu 10 ni lita 3 na kidogo si uchawi huu walai... Tutegemee pia na bidhaa kupanda bei zaidi maana kiwese ndo uchumi wenyewe yakipanda na bidhaa zinapanda

Sent using Jamii Forums mobile app
kivuli cha magu kitawatesa sana. Kubalini yaishe
 
Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
wivu utakuua tafuta pesa hiyo roho mbaya ikutoke.
 
Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Bunge la ccm hoyeee! Twende hivi hivi. Asiyetaka kwani kalazimishwa akanunue hayo mafuta??😅😅
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Acha kulalamika vitu vya kipuuzi kanunue mafuta Rwanda
 
Nchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.

JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
mtauana mwaka huu. Ndio kwanza miezi mitatu. Miaka mitano mtafika kweli? Na bado mama tunamwongeza 10 tena atake asitake tutamlazimiaha tu
 
Mkuu kwani Rwanda wanatawaliwa na Chama hiki hiki cha huku??
 
Mama anapotoka sana. Kodi kwenye mafuta ina implication kubwa mno kwenye maeneo mengine nyeti. Harafu hii “Tshs 100 kwa kila lita moja” ni kubwa sana when you look at the bigger picture
 
Back
Top Bottom