Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

Nchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.

JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
Ujumbe wako unadharau sana,kwa hiyo taasisi yote ya Rais kila siku inaripoti kwa Jk.
Kuweni na adabu.
Huwezi nyamaza
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Na mkome!

Wakati Mwigulu anasoka bajeti hamkusikia kama mafuta yatapanda?

Ohh,... Nmekumbuka, kumbe mlikuwa busy kusaini petition ya kumtoa Mondi BET
 
Nchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.

JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si kipenzi chako huyo?

Na jk ulimmiss hadi ukatamani arudi awe rais?


Mama anaupiga mwingi
 
Bajeti ya Mwigulu,iliyokuwa inasifiwa na kupitiswa na wabunge wengi.

"Wapinzani walipotezea muda sana, nasema uwongo ndugu zangu?"
Mlikuwa busy kumsifia mama kwamba kawapa zawadi ya kumpeleka Sabaya kisongo huku wengine wakisaini petition ya kumtoa MONDI kwenye tuzo za BET,

Huku wenzenu wakifanya yao bungeni
 
Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Kwa mujibu wa bavicha, mama anafungua nchi na kurudisha hela mtaani ili wawe wanaziokota,
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Mkuu juzi nilikua Burundi lita1700
 
Samia atakuja kuwa Rais weak kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Na huu ni mwanzo tu.
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi
Wachuuzi wataibuka hapo wananunua lita 2000 wanakwenda kuuza 2300
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi

Pengine kodi zetu za mafuta ziko juu kulinganisha na za rwanda
 
Hivi kukaa pembezoni mwa nchi ni KOSA LA ASILI? sioni sababu ya kutoweka mizania katika bei za mafuta nchini. Mbona sukari inayotoka huko Kagera hainunuliwi kwa bei rahisi pale Bukoba? Ubunifu naona umekuwa bidhaa adimu sana hapa Tanzania.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Moja ya comment bora..kimsingi hii nchi ina viongozi wa uchumi wapuuzi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Hebu shika adabu kijana.
 
Mama ashaanza kukwama walahiii… pamoja na petrol kutokutumika kwa wingi nje za nchi sababu ya corona ila kashindwa kucontrol mfumuko wa bei hapa mama anakwama sanaa
 
Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Tozo ni nyingi hatari but 2650 ni bei ya kawaida tuu kulingana na tozo zilivyo nyingi..

Mtoa mada hamia Rwanda hakuna namna 😆😆😆😆
 
Inakuwaje bei za mafuta Tanzania ziwe kubwa kuliko bei za mafuta Zambia ilihali Zambia wanapitisha mafuta kwenye bandari na Bomba letu?

Majibu ya swali hili yatakua ni magumu sana.

Lakini ndio hivyo mnatakiwa kujibu majibu ya uwazi na ukweli.

Haya sasa twendeni kazi tujibu hili swali.
 
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi

kweny uchaguz ulitumbukiza kura ngap kwenye box?
 
Inakuwaje bei za mafuta Tanzania ziwe kubwa kuliko bei za mafuta Zambia ilihali Zambia wanapitisha mafuta kwenye bandari na Bomba letu????????

Majibu ya swali hili yatakua ni magumu sana.

Lakini ndio hivyo mnatakiwa kujibu majibu ya uwazi na ukweli.

Haya sasa twendeni kazi tujibu hili swali.
Jamani kunaissue ya Kodi kwa ajili ya barabara nadhani na maji na afya
 
Soko huria, wanaoweza nunueni petroli kutoka Rwanda, wachuuzi wa Ngara watajibeba!
Thubutu hapa natokea tunduma gari yangu inapekuliwa na Traffic kana nimebeba sukari ya Zambia ili wanikamate
 
Back
Top Bottom