technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Sio manji tu wakina Singasinga, Makonda na wengine kibaoWazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.
Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.
Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.
Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Mbona umeandika maneno tu hapo?nikajua ntakutana na bonge la ushahidi....!Ni aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Nauli zipande ili wananchi wa-riotNi aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Weka ushahidi hapa maana alifutiwa mashtaka yote na mahakama wakati wa utawala uliopita. Kwani alitokea gerezani wakati anaenda marekani!?!?Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.
Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.
Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.
Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Alifutiwa mashtaka ya kukutwa na sare za jeshi sio ukwepaji kodi ama kuchukua pesa za umma kwenye taasisi na kugome kupeleka huduma.Weka ushahidi hapa maana alifutiwa mashtaka yote na mahakama wakati wa utawala uliopita. Kwani alitokea gerezani wakati anaenda marekani!?!?
Hapo ndio pa kuanzia mjadala huu badala ya kumtukana rais maana kodi hizo zipo miaka mingi tu nyuma serikali hii imeongeza nafikiri tozo moja tu!!! Na tujadili hizo tozo zina tija kwa nchi yetu!?? Mfano EWURA,VETA,SGR n.kMafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Mimi since day one mama anateuliwa nilijua tu lazima achemke... Hii inchi inataka watu wadizaini ya magu uwe mfatiliaji wa mambo na officen usikae!! Sio kukutana mara na mashehe mara mapadri hii haina Tija yoyote kwa taifa... Sasa huu mziki wa kiwese sijui wamewaza nini aisee maana vyuma vitapaki sana walahi yani now mtu mwenye gari ya petrol ukiwa na elfu 10 ni lita 3 na kidogo si uchawi huu walai... Tutegemee pia na bidhaa kupanda bei zaidi maana kiwese ndo uchumi wenyewe yakipanda na bidhaa zinapandaHapo zambia tu ni buku mia saba lita 1740 ila sijui sisi tumelogwa na nani.Tunapiga kodi mpaka aibu maana mafuta ni bidhaa muhimu sana .Hata kama tunataka maendeleo tuende taratibu maana hatuwezi ijenga Tanzania kwa siku kuna vizazi vinakuja nao watajenga .Inafika mahali unaona kama tunakomoana ww uagize gari hiyo kodi mpaka inataka kuzidi bei ya gari sasa huu si uchizi.
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
sukuma bunge ndio imepitisha huo uchafu wa bajeti acha kulialia.A condom could've prevented this post
kivuli cha magu kitawatesa sana. Kubalini yaisheMimi since day one mama anateuliwa nilijua tu lazima achemke... Hii inchi inataka watu wadizaini ya magu uwe mfatiliaji wa mambo na officen usikae!! Sio kukutana mara na mashehe mara mapadri hii haina Tija yoyote kwa taifa... Sasa huu mziki wa kiwese sijui wamewaza nini aisee maana vyuma vitapaki sana walahi yani now mtu mwenye gari ya petrol ukiwa na elfu 10 ni lita 3 na kidogo si uchawi huu walai... Tutegemee pia na bidhaa kupanda bei zaidi maana kiwese ndo uchumi wenyewe yakipanda na bidhaa zinapanda
Sent using Jamii Forums mobile app
wivu utakuua tafuta pesa hiyo roho mbaya ikutoke.Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.
Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.
Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.
Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Bunge la ccm hoyeee! Twende hivi hivi. Asiyetaka kwani kalazimishwa akanunue hayo mafuta??😅😅Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
Aliekwambia sina pesa ni nani mkuu.wivu utakuua tafuta pesa hiyo roho mbaya ikutoke.
😅😅😅kweliBajeti ya Mwigulu,iliyokuwa inasifiwa na kupitiswa na wabunge wengi.
"Wapinzani walipotezea muda sana, nasema uwongo ndugu zangu?"
stress na roho mbaya ndio viashiliaAliekwambia sina pesa ni nani mkuu.
Acha kulalamika vitu vya kipuuzi kanunue mafuta RwandaNi aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
mtauana mwaka huu. Ndio kwanza miezi mitatu. Miaka mitano mtafika kweli? Na bado mama tunamwongeza 10 tena atake asitake tutamlazimiaha tuNchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.
JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
Very simpleNi mwendo wa kuvuka rusumo kujaza mafuta na kurudi