Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Ukishajua mchezaji wa timu pinzani anawasumbua sana uwanjani lazima muchukie
 
Jiulize kwanza kwanini wanaosema Magufuli ni dicteta wengi ni chadema na sio Ccm wenyewe?
 
Ni jambo la kawaida tu kama inavyokuwa wakati wa kumpata mgombea urais na Mwenyekiti ndani ya CCM hao jamaa huwa wanafuatilia kwa karibu tofauti ni kwamba wao huwa "wanazengeazengea" kunasa makapi pia.
 
Mbona watu wanaweweseka na mbowe kuna nini? ...basi itakuwa huyu wa wa kwetu kusini kapewa maagizo....muda utaongea
 
katika watu wenye shallow analysis JF unaongoza!
 
katika watu wenye shallow analysis JF unaongoza!

Ungekuwa na 5% tu ya IQ yangu nadhani Ukoo wako ( Koo zako ) zote mbili zingekufanyia Sherehe Kubwa na Kujivunia kuwa na Mtu kama Wewe ila bahati mbaya imekuwa ni Kinyume chake na badala yake una Utajiri mkubwa wa ' Upumbavu / Upopoma ' ambao pia nahisi utakuwa umeurithi kwa Wawili waliopoteza muda Wao ' Kukutafuta ' kwa Jasho na Damu Kitandani na wakailetea Tanzania Jitu ' Juha ' lililotukuka kama Wewe.
 
Na ndiyo maana ume opt matusi maana akili yako imeishia hapo. nakwambia una shallow analysis. Nakwambia kuwa katika watu wenye shallow analysis ni wewe.
 
Huu ni uchambuzi mfu. Lazima mtu awe mjinga aliyebobea kukubaliana na hii ngonjera.

Kwanza siyo kweli kuwa CUF iliuawa na ngonjera za CCM kuwa CUF ni chama cha waislam. CUF imeuawa kwa hila ya hongo - kwa kumnunua Lipumba lakini siyo sababu za udini.

Kelele za kusema CHADEMA ni ya wachaga hazijawahi kuleta hisia zozote za ukabila ndani ya CHADEMA au hata kwa wananchi.

CHADEMA ina nguvu sana MBEYA - Mbeya ni ya wachaga? CHADEMA ina nguvu sana IRINGA, MARA, baadhi ya maeneo ya Morogoro, MWANZA, DAR - je, huko kote ni kwa wachaga?

Wajinga wa CCM wamekuwa wanatumia propaganda zinazoendana na ujinga wao ambazo hazina athari yoyote, watu wanazipuuza.

Mbowe anaweza kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti au asichaguliwe tena, lakini siyo kwa sababu ya uchaga wake au eti kuogopa wajinga fulani watasema CHADEMA ni ya wachaga.

CCM imejaa watu wajinga (utafiti wa TWAWEZA), hivyo hata propaganda zao zinaendana na hali yao ya ujinga, na mbinu za kijinga za mjinga hazimkamati mwerevu.
 
Very stupid. Yours is a honey coated bullet. Keep it to yourself.
 
Maono ya Mungu na 95% wapi na wapi?
 
Kupush kwa kazi gani mkuu wakati sasa hivi wanakuzuia tu usichukue fomu, usirudishe fomu na ukirudisha watakwambia umekosea kujaza! hoja yako haina mashiko japo umejitahidi kupanga propaganda.
 
Ukweli ni kwamba Mbowe ndio anawanyima usingizi, unamchoka mbowe unaridhika na lipumba, mrema,cheyo nk unakuwa umefall mahali
 
🤣🤣 🤣 🤣Hilo suali ligeuze up side down ndani ya chama chao ndio jibu
 
me nasubiria siku MEKO anaenda lumumba Kkuchukua fomu ya kugombea uenyekiti na wakati huohuo JEMBE MEMBE nae atajikongoja kama alivoahidi atachukua mapemaaa asubhiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…