Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Duuuu, pole kumbe ulilazwa mirembe?
Baada ya kifo cha jiwe nasikia ulipata uwenda wazimu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daktari mkuu wa ile hospital ameingia matatizoni kwa kukuachia mgonjwa simu unaandika vitu vifananavyo na matatizo yako!
 
Daktari mkuu wa ile hospital ameingia matatizoni kwa kukuachia mgonjwa simu unaandika vitu vifananavyo na matatizo yako!
Baada ya baba yako kufariki sasa hivi hauna machachari yako hapa jf maana huna mfadhili.

Ukitaka kazi sema utapewa kazi ya kukuna nazi hotelini kwangu.

Kuna rafiki yako kaniambia kuwa wewe ni hodari sana kwenye kukuna nazi.
Screenshot_20210309-134942.jpg
 
Pamoja na majeshi yote Mwendazake kashindwa wewe utaweza kumuondoa kwa thread ya JF.
Quinine, you have made my day! Eti Idd Amin bin Jiwe kashindwa, uzi mfu wa JF utamuondoa Mwamba
 
Back
Top Bottom