Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Waulizeni wavaa kobazi wa Mkulanga watawapa taarifa ya habari.
Hiyo ni tofauti hiyo wanataka Dola ya Kiislamu haitaugwa mkono ila ya kwetu ni tunadai Demokrasia kamili iyaunhwa mkono na Watanzania mamilioni kwa mamilioni
 
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.

Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.

Mngeanza na lipumba mkuu aliyekuwa mwenyekiti tangia 1994,then mkaja kwa mbatia....Kamanda wa Anga muacheni nyie Thithiemu.
 
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.

Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Mama Samia kaza kamba usilegeze mataga na sukuma gang wame changanyikiwa
 
Mkuu naona unakamua Chuma halafu unatarajia maji...

Kaa kwa kutulia mkuu,,, tafuta pesa na ule maisha...
 
Hiyo ni tofauti hiyo wanataka Dola ya Kiislamu haitaugwa mkono ila ya kwetu ni tunadai Demokrasia kamili iyaunhwa mkono na Watanzania mamilioni kwa mamilioni
Wewe ndo unaona tofauti ila wenye jukumu la kulinda mipaka ya nchi na raia awaoni tofauti wote ni wavuruga amani kwa mtutu.
 
Wewe ndo unaona tofauti ila wenye jukumu la kulinda mipaka ya nchi na raia awaoni tofauti wote ni wavuruga amani kwa mtutu.
CCM ikiendelea na ubabe wa kuzuia Demokrasia Nchi itaingia kwenye kunyukana wenyewe kwa wenyewe na usiangalie mbali hapahapa Afrika Ivory Coast
 
CCM ikiendelea na ubabe wa kuzuia Demokrasia Nchi itaingia kwenye kunyukana wenyewe kwa wenyewe na usiangalie mbali hapahapa Afrika Ivory Coast
Demokrasia kwanza ianzie kwenu,inakuwaje chama kinakua na mwenyekiti wa maisha,anachingasha fedha wabunge kisha anaweka kibindoni?
 
Kila wakati Mbowe , Mbowe, Mbowe. Amekutia mimba ya uchichoroni ?!. Yaani unakera Jambo kila siku unaianzishia thread [emoji107].

Ushauri wa bure, kipindi cha uchaguzi ndani ya Cdm kinakuja. Kama vipi, jipime unaweza kupata kama unaona Mbowe hafai. Lakini hili la kila siku jambo moja !! Taga unakera
We jaluo usie na akili kaa kimya. Mimi sio bwege kujipendekeza kwa mtu anayeomnyonya wat

Ulishaona chama chetu kina uchaguzi halali? Acha upuuzi
 
Democracy

Cdm kubadilisha katiba ili mwenyekiti awe wa milele sio democracy

Kupitisha mgombea urais kwa kura za ndioooooooo sio democracy.

Kupingana na mwenyekiti unafukuzwa sio democracy.

Kuwa na wafuasi ambao hawawezi kufikiri nje ya fikra za mwenyekiti hiyo sio democracy.

Kukataza/kuzuia mikutano ya kisiasa sio democracy.

Kuhisi peke yako ndio mwenye akili sio democracy.

Kutosimamia sheria sio democracy.

Kutumia cheti cha MTU ni kuvunja sheria.

Kujihisi wewe ni mtoto wa mfalme wakati sio kweli hiyo sio democracy.

Kujifanya hupangiwi sio democracy.

Ukiwa njaa huwezi kupractice democracy(kila wakati utawaza tumbo lako )
Mbona kama haya yapo CCM pia; mfano, kupingana na mwenyekiti ...
 
Mwenyekiti wa chama cha Demoghasia na maandamano!

Saccoss ya 'Bwana Makengeza' imebaki na mbunge mmoja lakini amedinda tu hataki kung'atuka!

Ana miaka 30 ndani ya saccoss!
Ndiyo maana kila kukicha unatiwa adabu
 
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.

Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Watanzania wengi hawana imani na Mbowe!!??
Ebu tuweke rekodi Sawa,chama Cha wanyonge na kinachopendwa sana mpaka kupewa kura asilimia 99,si CCM?sasa hao "watanzania wengi"wasio na imani na Chadema ni kina nani?
Nccr,cuf,Top,vyote hivi vilikufa kwa figisu za ccm,sasa hawa Ccm inawauma sana wanapoona wameshindwa kuiua Chadema,
Chadema ni zaidi ya chama,ni idea,philosophy ambayo ipo mioyoni mwa watu.
Kama Mbowe ni fisadi,kwanini hakamatwi na PCCB na afunguliwe mashitaka,wale mnaopiga kelele kuhusu ufisadi,anzeni na ufisadi uliopo ccm na serikalini.
Anzeni na wale vigogo wa Tasac,waliopiga billioni 23 kwa kukaa vikao tu!!
 
Ni kweli huu utetezi wa wanacdm wengi kuhusu Mbowe kukaa muda mrefu madarakani. Lakini tujiulize je ni kweli bila Mbowe cdm itayumba? Hivi inge/ikitokea Mbowe akafariki ndio mwisho wa cdm? Hivi hatuona kuwa kitendo cha Mbowe kumleta Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais ni ndio imechangia leo hii cdm kuongea kitu na watawala kuwapuuza? Huwezi kufananisha cdm ya kabla ya Lowassa na cdm baada ya kuwasili Lowassa. Inahitaji ushabiki wa kisiasa kuendelea kumpigia debe Mbowe kuwa mwenyekiti. Ni kweli amefanya mazuri mengi sana kukifikisha chama hapo kilipo, lakini kiukweli sasa ni wakati wa yeye kukaa pembeni na wala sio kwa matakwa ya ccm bali kutokana na uhalisia tu.
Majibu ni mepesi sana. Ukatili wa Magufuli ndio ulioifikisha nchi hapa ilipo. Lowasa alikuja CDM na akavuna kura zake nyingi achilia mbali zilizoibiwa. Walipata wabunge zaidi ya 70. Kama sio ukatili wa Pombe, leo mambo yangekuwa mengine. Sio Lowasa wala awaye yote aliyetufikisha hapa tulipo zaidi ya Pombe. Hizo nyingine ni "brabra sio blabla" tu
 
Back
Top Bottom