Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

Huyo jamaa katia pamba masikioni. Ni dikteta wa kutupwa.
Na bado mnaweweseka tu kama huyu mwenzenu soma hapa wew shwaini
FB_IMG_16200531277729718.jpeg
 
Mataga usituletee stress zako za kummis marehemu pombe.

Mbinu za medani: Aida Khenan, Mbunge wa Nkasi ndiyo awe Mwenyekiti wa CHADEMA
 
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.

Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Ww endelea kulinda kaburi la dhalimu hapo chattle, ya huku nje waachie wenye akili timamu.
 

Mbinu za medani: Aida Khenan, Mbunge wa Nkasi ndiyo awe Mwenyekiti wa CHADEMA
Wewe utakuwa Mwenyekiti wa Mashoger Tanzania
tapatalk_1565762914493.jpeg
 
Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.

Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Una kipaji cha ujinga!
 
Mwenyekiti wa chama cha Demoghasia na maandamano!

Saccoss ya 'Bwana Makengeza' imebaki na mbunge mmoja lakini amedinda tu hataki kung'atuka!

Ana miaka 30 ndani ya saccoss!
 
Back
Top Bottom