Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kamanda unamkana kamanda mwenzako? Aisee nyie makamanda uchwara mmevurugwa.Huyo ni mpuuzi mwenzenu huko CCM mtandaoni kama huyu hapa View attachment 1775791
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda unamkana kamanda mwenzako? Aisee nyie makamanda uchwara mmevurugwa.Huyo ni mpuuzi mwenzenu huko CCM mtandaoni kama huyu hapa View attachment 1775791
Ndo maana huwa nasemaga kuwa Mataga ni MazezetaLisu kapuuzwa na wafuasi wake baada ya kudis hotuba ya mama,kwasasa Lisu hana jipya habari ya mjini ni kipenzi cha watanzania mama SASHA.
Mama kawakata ngebe Nyumbu na viongozi wenu.
Dj amechanjwa lakini bado anafanya social distance kwa joyce mkuyaHawajifunzi. magufuli alijifanya mjanja Corona ikambeba bado hawa mbuzi wacha waendelee kuiletea dharau.
Shame on you MATAGA wa fisiemuKamanda unamkana kamanda mwenzako? Aisee nyie makamanda uchwara mmevurugwa.
Jiwe hakuchanjwa ndiyo maana amekufa bado wewe kimada wakeDj amechanjwa lakini bado anafanya social distance kwa joyce mkuya
Hawa wapuuzi watanyooka tu kama wanakuja kupima upepo wasepeNdo maana huwa nasemaga kuwa Mataga ni Mazezeta
Mama anarudisha Demokrasia halafu tunaingia ulingoni
Katibu mwenezi wao Mpya kasema hatoi buku saba tena sasa nimewashauri warudi Vijijini hapa mjini wataolewaHawa wapuuzi watanyooka tu kama wanakuja kupima upepo wasepe
Subiri meli kituo cha mwendokasi,sawa Nyumbu,endelea kusubiri hapohapo?Ndo maana huwa nasemaga kuwa Mataga ni Mazezeta
Mama anarudisha Demokrasia halafu tunaingia ulingoni
Mkizuia Demokrasia mjue tutaanzisha Harakati za Msituni za kuwang'oa MadaraniSubiri meli kituo cha mwendokasi,sawa Nyumbu,endelea kusubiri hapohapo?
Mama Samia kamua mama.
Wakadange wapate pesaKatibu mwenezi wao Mpya kasema hatoi buku saba tena sasa nimewashauri warudi Vijijini hapa mjini wataolewa
Makamanda mmepoteana. Yaani mmebaki na hasira ile mbaya.Shame on you MATAGA wa fisiemu
Waniiijie mimi niwapime Oil.Wakadange wapate pesa
Mnamkataa kamanda wenu nyinyi Nyumbu?Huna lolote huwa ujifanya Chadema kumbe ni Pandikizi la CCM mitandaoni
Huyo ni Taga au tukuambie ID yake ya kweli?Mnamkataa kamanda wenu nyinyi Nyumbu?
Kila wakati Mbowe , Mbowe, Mbowe. Amekutia mimba ya uchichoroni ?!. Yaani unakera Jambo kila siku unaianzishia thread [emoji107].Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.
Jeshi gani linagawanyika,hivi ukumbuki kampeni ya majeshi yote kupanda miti nchi nzima baada ya Nyumbu kutangaza maandamano?Mwakibolwa hawezi hii kitu ya wenyewe kwa wenyewe jeshi pia litagawanyika wewe angalia Nchi zilizoanza kunyukana
Kumbuka Watu wanazidi kuwachoka siku tukiamua kunyukana hakuna cha mswalie mtume.Jeshi gani linagawanyika,hivi ukumbuki kampeni ya majeshi yote kupanda miti nchi nzima baada ya Nyumbu kutangaza maandamano?
Mtanyukana na nani nyinyi mmelegea sana,wanawake 19 wanawashinda mtawezana na wakina Mwakibolwa?Kumbuka Watu wanazidi kuwachoka siku tukiamua kunyukana hakuna cha mswalie mtume.
akamatwe na afilisiwe kabisa ngoja nimuulize kwanza CAG maana we we mtoa taarfa sikuamini.Huwezi ukasimama mbele ya hadhara na kudai kuwa eti niliwekeza pesa zangu ili kuimarisha chama na kukijenga hivyo niwe mwenyekiti wa maisha. Hapana huu sio uungwana wa kisiasa.
Leo hii watanzania wengi hawana imani na wewe sababu walishatambua kuwa wewe unatumia Chadema kupata manufaa kiuchumi. Kwa hivyo ni wazi kuwa haufai kabisa. Pisha kuwa kiongozi.