Inakuwaje France ina akiba ya dhahabu tani 2436 bila kuwa na mgodi wakati nchi kama Senegal haina akiba angali kuwa na migodi 860.

Inakuwaje France ina akiba ya dhahabu tani 2436 bila kuwa na mgodi wakati nchi kama Senegal haina akiba angali kuwa na migodi 860.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika.

Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza kodi ya kidogo kilichobakia.

Hata kama wazungu ni wezi wa rasilimali zetu unafikiri ni nani ana ruhusu kuzichukua???

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika!!
 
Ni
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika.

Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza kodi ya kidogo kilichobakia.

Hata kama wazungu ni wezi wa rasilimali zetu unafikiri ni nani ana ruhusu kuzichukua???

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika!!
Ni issue ya akili tu .
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika.

Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza kodi ya kidogo kilichobakia.

Hata kama wazungu ni wezi wa rasilimali zetu unafikiri ni nani ana ruhusu kuzichukua???

Adui wa Mwafrika ni MwafrikaNiisdue ya akili tu .
 
Kwani makampuni yanachimba Dhahabu ni ya wazawa?!

Au tuseme ni kampuni za wazawa Je Dhahabu zikipatikana zinauzwa wapi?!

Sisi Afrika tupo kwa ajili ya kukusanya kodi kwenye rasilimali zetu mzee!.
 
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika.

Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza kodi ya kidogo kilichobakia.

Hata kama wazungu ni wezi wa rasilimali zetu unafikiri ni nani ana ruhusu kuzichukua???

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika!!
Hilo sio swali Kwa mtu kama wewe kuuliza
 
Najua wengi wenu mtakuja na majibu ya wazungu ni wezi mara mabeberu wanaonea Waafrika.

Ila mnasahau adui na mwizi wenu namba moja ni yule aliyeko pembeni yako na licha ya kukuibia bado anakutoza kodi ya kidogo kilichobakia.

Hata kama wazungu ni wezi wa rasilimali zetu unafikiri ni nani ana ruhusu kuzichukua???

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika!!
Uje uwaulize serikali ya tz nao wana akiba ya dhahabu kiasi gani

Ova
 
Back
Top Bottom