Inakuwaje halmashauri ya Kilwa kipindi hiki cha midterm wanafunzi wanatakiwa waende shuleni

Inakuwaje halmashauri ya Kilwa kipindi hiki cha midterm wanafunzi wanatakiwa waende shuleni

Joined
Feb 9, 2024
Posts
42
Reaction score
80
Habari wadau,

Shule nyingi za sekondari zimefungwa hapa nchini, ila wilaya ya kilwa inaendelea kufundisha wanafunzi kuanzia kidato cha 2 na 4, lakini kwa hili hii wanafunzi na walimu wanatakiwa kufika shuleni, kwa mazingira haya zile siku za masomo zilizowekwa kisheria na wizara zinakuwa zimezidi kiwango, pia wanafunzi wanakosa haki yao ya kupumzika kama wenzao maeneo mengine.

Najua kuna viongozi na watu wenye dhamana himi jukwaani ambao wataliangalia kwa jicho la 3 suala hili. Nawasilisha.
 
Wazazi kama wew hamtakiwi kuwa na watoto simply,
Huko kilwa ufaulu upo down, watu wanajituma kurudisha ufaulu juu mnaanza maneno ya kipuuzi
 
Mbona pale kwenye uzinduzi wa mwenge watoto kibao TU walikuwa na uniform wiki yenyewe Moja form wakifungua Wana mock nadhani hao waliofundisha kipindi hiki mngewapa hata 1000 Kila mwanafunzi ili wazidi kujituma zaidi
Hali ya elimu nchini imeporomoka sana bidii ya ziada inahitajika
 
Habari wadau, shule nyingi za sekondari zimefungwa hapa nchini, ila wilaya ya kilwa inaendelea kufundisha wanafunzi kuanzia kidato cha 2 na 4, lakini kwa hili hii wanafunzi na walimu wanatakiwa kufika shuleni, kwa mazingira haya zile siku za masomo zilizowekwa kisheria na wizara zinakuwa zimezidi kiwango, pia wanafunzi wanakosa haki yao ya kupumzika kama wenzao maeneo mengine. Najua kuna viongozi na watu wenye dhamana himi jukwaani ambao wataliangalia kwa jicho la 3 suala hili. Nawasilisha.
Siyo Lindi tuu, waalimu wanatoza 200 kila siku kila mwanafunzi. Ni mradi maana wanafunzi 600 ni sawa 120000 kila siku na jumamosi ni 1000 sawa na 600000! Sasa kuna mwalimu gani ataacha maokoto aende kukaa nyumbani kisa likizo?
 
Wazazi kama wew hamtakiwi kuwa na watoto simply,
Huko kilwa ufaulu upo down, watu wanajituma kurudisha ufaulu juu mnaanza maneno ya kipuuzi
Wewe mwalimu acha ujinga, hizo remedial fees ndo unatoka povu hivi? Siku za kawaida mnafanya nini au wanafunzi hawaelewi hadi mchukue hizo 200?
 
Back
Top Bottom