Inakuwaje haya majina ya kiswahili kwa Wanigeria?

Itovanilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
2,314
Reaction score
5,150
Habari wanajamvi hope mu wazima wa afya,l tupo kwenye majonzi ya msiba mzito kwa taifa na watanzania kwa ujumla,hakika kila nafsi itaonja mauti

Hatuna budi kusahau Ili maisha yaendelee

Nijikite kwenye mada, katika pita pita zangu huko Youtube nimekutana na wimbo wa msanii Tekno unaitwa KATA,je hili neno kata limekaaje.

Maana wimbo unaonekana ni english version,hii imekaaje?

Pia Mr flavour nae ana wimbo unaitwa NNE KATA, je ni lugha yao au wanachomekea maneno ya kiswahili.
Uzi tayari
 
Hizo ni lugha zao mkuu, ukisema uchukue maneno ya mataifa ya nje uyalete kwenye kiswahili utagombana na watu.
Mfano huyo Tekno kuna wimbo wake ameimba 'Panya'.
huko kwao neno Panya lina maana ya Binti au Mwanamke mrembo, lakini hapa kwetu Panya ni kiumbe msumbufu katika nafaka.
 
Nakumbuka kipindi kile aisee!
 
Mkuu hapo ndipo unapata majibu kwamba Lugha ya Kiswahili ni Mkusanyiko wa Maneno ya Lugha za Kibantu na maneno yaliyotoka kwenye Lugha za Kigeni kama Kiarabu, Kireno, Kiingereza nk.
 
Ha ha ha umenchekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tekno hajawahi kuwa na wimbo unaitwa PANYA, bali unaitwa PANA..

Bracket ndiyo wana wimbo unaitwa PANYA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…