Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Hehe...hiyo ndio Tanzania..wanakuja waganda wanasa ktk vyuo vyetu materials yetu wanayelewa vyema na kuyageuzwa kuwa practical....walimu wao km kawa wanabaki wakijisifu ktk mabaa kuwa engine wamefunshwa kwetu wa hiyo hawatuwezi.
Hiyo ni katika IT ,kilasector ukiingia kuna masihara km haya.NIlihswahi sema huku fikra za kipwani ni dhaifu sana kuongoza nchi.Ikafutwa ile thread na ban juu.Its time waachie wenye uwezo waongoze, nchi imejaa tamaduni na spirits za watu tofauti, tungekuwa na akili tungechagua siafa njema za watu wa sehemu mbali mbali ktk nchi zipewe nguvu kitaifa.
Hiyo ni katika IT ,kilasector ukiingia kuna masihara km haya.NIlihswahi sema huku fikra za kipwani ni dhaifu sana kuongoza nchi.Ikafutwa ile thread na ban juu.Its time waachie wenye uwezo waongoze, nchi imejaa tamaduni na spirits za watu tofauti, tungekuwa na akili tungechagua siafa njema za watu wa sehemu mbali mbali ktk nchi zipewe nguvu kitaifa.