Inakuwaje kamanda mkuu wa kijeshi Urusi anakuwa chini ya Wagner Group, kikundi kidogo cha kukodi?

Inakuwaje kamanda mkuu wa kijeshi Urusi anakuwa chini ya Wagner Group, kikundi kidogo cha kukodi?

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
Wakuu habari za muda,

Nimeshangazwa sana kuona sasa kamanda mkuu wa majeshi ya Urusi sasa anapokea amri kutoka kwa kamanda wa kikundi kidogo cha Wagner Group amacho sio jeshi rasmi ni kikundi maalum cha kukodi baada ya makamanda wengi wa Urusi kufeli na kuuliwa kwenye makabiliano ya vita kule Ukrean.

Hii itakuwa imekaaje na vita ndio kwanza tunaambiwa ni mbichi mizigo inaendelea kutumwa Ukraine toka Ujerumani na Marekani.

Taifa kubwa kama la Urusi ambalo tuliambiwa ni kubwa zaidi ukitoa lile Marekani kijeshi ulimwenguni sasa makamanda wao wanapokea amri toka Wagner Group. Ni habari za kusikitisha sana, Majeshi na makanda wa Urusi wenye weledi leo wako wapi?
 
Kuna mada nyingine mtu unabaki unacheka tu!
Mleta mada ni kama mtu aliyekosa matumaini hivyo anatafuta namna ya kujifariji!
Nways kuwa na subra,huenda kesho ukapaga habari nzuri zaidi ya kujifurahisha!
 
Wakuu habari za muda,

Nimeshangazwa sana kuona sasa kamanda mkuu wa majeshi ya Urusi sasa anapokea amri kutoka kwa kamanda wa kikundi kidogo cha Wagner Group amacho sio jeshi rasmi ni kikundi maalum cha kukodi baada ya makamanda wengi wa Urusi kufeli na kuuliwa kwenye makabiliano ya vita kule Ukrean.

Hii itakuwa imekaaje na vita ndio kwanza tunaambiwa ni mbichi mizigo inaendelea kutumwa Ukraine toka Ujerumani na Marekani.

Taifa kubwa kama la Urusi ambalo tuliambiwa ni kubwa zaidi ukitoa lile Marekani kijeshi ulimwenguni sasa makamanda wao wanapokea amri toka Wagner Group. Ni habari za kusikitisha sana, Majeshi na makanda wa Urusi wenye weledi leo wako wapi?
Watu mnashangaa wegner group ila hamkushangaa blackwater
 
Putin ni muhuni tu.Kama Mkuu wake wa majeshi anaweza kuwa chini ya wahuni"Wagner mercenaries" na kupokea amri toka kwao, basi na yeye ni muhuni tu!
 
Back
Top Bottom