Inakuwaje kamanda mkuu wa kijeshi Urusi anakuwa chini ya Wagner Group, kikundi kidogo cha kukodi?

Inakuwaje kamanda mkuu wa kijeshi Urusi anakuwa chini ya Wagner Group, kikundi kidogo cha kukodi?

Basi shida ni uelewa.
Aliyestaafu unaweza kumpeleka apate mafunzo ya technolojia ya kisasa?
kama walistaafu kabla ya technolojia ya ndege zisizo na rubani wana uwezogani wa kuzikabili?
Ningekuwa mimi kwa kutumia akili ya kawaida.
Wastaafu ningewaita jeshi la akiba,
Na ukikuta jeshi la akiba ndilo linashika usukani,basi ujue maji yapo shingoni.
Na kama ndivyo basi putin ateue mmoja wao awe mkuu wa majeshi.
Mind you we are not for war. It it's just a military operation 😁
 
Yaani unavyokiita kikundi ni kama vile cha SACCOS au cha jumuiya ya kanisa hapo mtaani kwenu.

Kikundi kinakomboa miji kwenye vita dhidi ya Ukraine na mataifa ya NATO yakisaidia. WAGNER nzima wakiamua kuja wanatusoma JW na sisi wenyewe tunaelekea kibla

Ipe heshima yake kwanza ndo ujadili.
Anakifananisha na red briged
 
Back
Top Bottom