Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

Waosiwalisem watakuwaambia kupitia namba zenu kama umepata ukiona kimya ujue ndio haiwezekan kufanya transfer
 
Waosiwalisem watakuwaambia kupitia namba zenu kama umepata ukiona kimya ujue ndio haiwezekan kufanya transfer

Walisema watatoa kwenye website yao bhna.....kwa medical related programs sijui kwa arts kama hizo sms wamepata tungesikia hata mmoja humu anasemaa
 
Kijana kuwa mvumilivu kuanzia leo mpaka kesho mambo yatakuwa tayari.
 
mm leo nilkua tcu wakadai tuwe wavumilivu na watatuma sms kwenye namba zetu so kama kuna mtu katumiwa atujuze
 
tcu ni noma kwa kwl, vyuo vingine mpk wameshaanza kus0ma tayari...cjui hawafikirii hilo, msg mpk leo hawatumi...Bora Raisi Nyerere
 
mm leo nilkua tcu wakadai tuwe wavumilivu na watatuma sms kwenye namba zetu so kama kuna mtu katumiwa atujuze

Jamani hizi tarifa kila mmoja akienda anaambiwa kivyake daa hadi tunachanganyikiwa sasa....mwingne anaambiwa hivi na mwingine hivi sa sijui
 
mm naomben munisaidie mawazo maana nilisahau kujaza kipengele cha category of aplicant munazan itakuaje naomben mawazo yenu
 
Transfer transfer transfer jamani mwenye kujua transfer za tcu zinatoka lini atujuze tumeachwa njia panda na wenzetu washaanza kusoma na registration deadline kwa vyuo vingi teyari ishapita sijui tukikosa tutakuwa wageni Wa nani mola tusaidie waja wako
 
Dah! Mi best yang nlmshaur aende 2 akafanye USAJIL, mengne yatajulkana mbele ya safar coz TCU wanazingua.
 
yah bora ukajisajili tu chuo ulichochaguliwa awali, maana unaweza subiri wakati umekosa hizo nafasi za transfer na chuo deadline ya usajili imefika.
 
Sijui tarifa za kweli wanasema bugando na kampala wametoa je ni kweliii hebu tu prove
 
kiukweli hata mi cjui hatima yetu ni nin ila mungu ni mwaminifu ngoja tuuuh tuusubir shid Ni kwamb vyuo ving watu washaanza kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…