Baba Genovivah
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 756
- 249
Jamani mbona hata sielewi hapa inakuwaje mtu kaomba transfer lakini bado jina lipo chuo kile kile cha mwanzo mbaya zaidi na mkopo wake umepelekwa huko huko..hivi hapa kunakupona kweli au ndo ishatoka?????