Inakuwaje kwa madaktari tuliowasomesha lakini wamekimbilia bungeni kufuata maslahi mazuri!

Inakuwaje kwa madaktari tuliowasomesha lakini wamekimbilia bungeni kufuata maslahi mazuri!

Ndio tunao madaktari waliokacha taaluma zao na kugombea ubunge ili wapate maslahi makubwa na mazuri zaidi.
Je, hawa wako kundi gani?

Hawa wameacha kabisa kutibu tofauti na wale wanaoendelea kutumikia taaluma zao katika sekta binafsi au kwenye taasisi za dini na zile za kijamii.

Maendeleo hayana vyama!
Haya mambo yanajadirika!
 
Ndio tunao madaktari waliokacha taaluma zao na kugombea ubunge ili wapate maslahi makubwa na mazuri zaidi.
Je, hawa wako kundi gani?

Hawa wameacha kabisa kutibu tofauti na wale wanaoendelea kutumikia taaluma zao katika sekta binafsi au kwenye taasisi za dini na zile za kijamii.

Maendeleo hayana vyama!
Haya mambo yanajadirika!
 
Ndio tunao madaktari waliokacha taaluma zao na kugombea ubunge ili wapate maslahi makubwa na mazuri zaidi.
Je, hawa wako kundi gani?

Hawa wameacha kabisa kutibu tofauti na wale wanaoendelea kutumikia taaluma zao katika sekta binafsi au kwenye taasisi za dini na zile za kijamii.

Maendeleo hayana vyama!

Biblia haidanganyi​

Mithali 28:16 SRUV​

Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana

SRUV: Swahili Revised Union Version
 
Mwalimu ni muhimu kuliko daktari. Bila mwalimu haupati daktari lakini bila daktari walimu wanakuwepo.

Amandla....
Ukifia TUMBONI AU USIPOHUDUMIWA BAADA YA KUZALIWA UKAFA, JE, UTAKUWA MWAKIMU?

Ni Wanyama porini tu wanaoweza kuzaa na kujihudumia, bike hawaongei tu lakini wanataabu.

MNATAKA TUISHI KAMA WANYAMA PORINI?
 
Waalimu wote ni wanasiasa bwashee!

Ila daktari ana umaalumu wa kipekee popote pale duniani.

Kutibu ni ibada!
Kwamba daktari yeye hatakiwi kuwa na maisha bora na mshahara mzuri? Acha tabia za kichawi.......mbona waalimu wa science ni wachache na mmoja wa chemistry kakimbia chaki?
 
Alichoongea Magufuli itoshe kutufungua akili kwamba anataka sera inayoweza kuisaidia serikali kumiliki Nguvu kazi kulingana na uwekezaji iliyoifanya.

Katika mazingira haya kuzuia watu uliowakopesha kusoma wasiondoke kwenye taasisi za umma ni sawa na kuwafanya watumwa wa mikopo kitu ambacho ni kinyume Cha sheria.

Ninamuunga mkono raisi kwamba anatamani kina Gwajima wanakuja na sheria ya haraka Sana kubrand na kulinda ajira za serikali
Unalinda kwa sera au kwa kuboresha maslahi na job security?
 
Alaf. Vitu vingine muwe mnajiuliz wkuu sio ushabiki tuu kuna tofaut ya kuacha kazi na kuhamia taasisi nyingine katika kitengo kile.kile kuacha udaktari na kuwa mwasias ni tofaut na kukimbia serikalin na kwenda binafsi lakin ukiwa katika wazifa ule ule unajuua analalamika yuko sahih katik watu ambao elim ya juu inawathamin ni pamoja na madaktar sasa inapotokea hvy lazima uumiee yaan ada kalipiwa lakin kaenda sehem nyingine kufanya kazi unadhan wote wananchi wana wez kufikia hiyo hadh ya kwenda kutibiwa katik hospital hiyo au ni baadhi ya wananchi walio na kipato cha juu tuu .Ndio Maan lazima atafutwe kwan kma akiwa serikalin hata wale wachin wangewez kupata msaad wake
Kwani wamesomeshwa bure au wanalipa hiyo pesa?

Mkopo siyo fadhila.
 
Huyu mtu ni mgonjwa. Acheni ubishi. Mpeni matibabu stahiki tena toka kwa huyo daktari aliyemnanga kabla hali haijawa mbaya zaidi.
Huo ndio ukweli ila nashangaa hata wale walionekana kuwa na akili wanakimbia macho huku taifa likizidi kuangamia
 
Ukifia TUMBONI AU USIPOHUDUMIWA BAADA YA KUZALIWA UKAFA, JE, UTAKUWA MWAKIMU?

Ni Wanyama porini tu wanaoweza kuzaa na kujihudumia, bike hawaongei tu lakini wanataabu.

MNATAKA TUISHI KAMA WANYAMA PORINI?
Basi bibi na babu zetu walikuwa wanaishi kama wanyama porini maana walikuwa wanazaa na kujihudumia bila madaktari. Na bado kuna watanzania wengi tu wanao zaa na kujihudumia bila daktari.

Hivi hauelewi kwa nini Baba wa taifa letu alijivunia kuitwa Mwalimu kuliko Dokta (alikuwa na Ph.D za heshima nyingi tu) au Mheshimiwa au hata Rais?

Watu kama nyinyi ndio mkisha soma kidogo mnawadharau na kujiona bora kuliko wazazi waliowazaa au waliowazaa wazazi wenu kwa sababu hawakusoma kama nyinyi.

Amandla...
 
Mke wa Rais wa Marekani ni Mwalimu na ataendelea kufundisha. Obama alikuwa mwalimu ( profesa ni mwalimu) na anajivunia ualimu wake.

Daktari ili awe daktari anafundishwa na walimu wa fani yake.

Nchi zilizoendelea huwezi kuwa mwalimu bila kuwa na digrii angalau moja na nyingine wana dai mbili.

Tuwaseme walimu wanapokosea lakini tusiwabeze au kuwadharau hata siku moja.

Amandla...
 
Bwashee kuna siku nyingine unakuwa na akili nyingi kama Tundu Lissu vile, halafu kuna siku ukiamka vibaya, huwa unakuwa kama Goodluck Mlinga!!

Hongera kwa hoja yako! Hakika maendelwo hayana chama. Leo kidogo nimekuelewa.
Hivi katika watu wenye akili na Tundu Lissu yumo kweli, yaani mtu mwenye akili akubali kwenda kuolewa ubeligiji?? Hahahaha vijana wa bavicha balaaa tupu.
 
Hivi katika watu wenye akili na Tundu Lissu yumo kweli, yaani mtu mwenye akili akubali kwenda kuolewa ubeligiji?? Hahahaha vijana wa bavicha balaaa tupu.
Angekua hana akili, Mwenyekiti wako angemuahidi cheo kizuri kipindi kile cha kampeni baada tu ya kuona mwamba anamsababishia pumzi yake kukata mara kwa mara?

By the way, mlitaka abakie nchini ili muendelee kumfanyia zile hila zenu? Yule ni akili kubwa! Baada ya kuwagundua, akawazidi akili kama kawaida yake. Na mashabiki wake tunamuelewa sana.

Usisahau pia Mh. Tundu Lissu ni baba wa familia! Na mke wake anaishi naye huko huko Ubelgiji anakopata matibabu yake yaliyotokana na lile jaribio lenu lililoshindwa la kutaka kumuua mchana kweupe.
 
Angekua hana akili, Mwenyekiti wako angemuahidi cheo kizuri kipindi kile cha kampeni baada tu ya kuona mwamba anamsababishia pumzi yake kukata mara kwa mara?

By the way, mlitaka abakie nchini ili muendelee kumfanyia zile hila zenu? Yule ni akili kubwa! Baada ya kuwagundua, akawazidi akili kama kawaida yake. Na mashabiki wake tunamuelewa sana.

Usisahau pia Mh. Tundu Lissu ni baba wa familia! Na mke wake anaishi naye huko huko Ubelgiji anakopata matibabu yake yaliyotokana na lile jaribio lenu lililoshindwa la kutaka kumuua mchana kweupe.
Nahisi vijana Bavicha kwa kiwango kikubwa mlidumaa mlivyokuwa chini ya miaka 5

Huyu jamaa ndiyo aliwaaminisha kwamba Rais Magufuli lazima aondoke madarakani iwe kwa heri au kwa Shari, matokeo yake yeye ndiyo akaondoka nchini kwa fedheha kubwa.

Huyu jamaa ndiyo aliwaaminisha kwamba ana uwezo wa kuingiza mifugo barabarani oo sorry vijana wake endapo atashindwa uchaguzi, cha kushangaza baada ya kushindwa uchaguzi akaenda kujificha kwa barozi wa ujerumani.

Huyu Jamaa aliwaahidi kwamba yuko tayari damu yake umwagike kwa ajili ya kuwatetea watanzania matokeo yake amewakimbia .

Mwisho narudia kusema mtu mwenye akili mwanaume hawezi kukubali kuolewa hata siku moja Lissu amekubali kuolewa kwa hiyo hana akili.
 
Back
Top Bottom