Uchaguzi 2020 Inakuwaje Magufuli anatupangia tumchague nani na nani tusimchague?

Uchaguzi 2020 Inakuwaje Magufuli anatupangia tumchague nani na nani tusimchague?

Hana uwezo wa kumpangia mtu yeyote nani wa kumpigia kura.

Yeye pia anaomba kura, licha ya yeye kuzunguka kuomba kura akiwa rais na kutumia rasilimalu za taifa kwa manufaa yake na chama chake, lakini bado hana mamlaka ya kura yoyote isipokuwa yake mwenyewe.

Hayo ni maneno ya kampeni tu, hasingeweza kusema msimpigie kura mgombea wa chama chake, hivyo fanya maamuzi sahihi na kura yako.

Mpigie unayedhani atatekeleza yale uyapendayo.
 
Pinga uone kama utapendwa. Mtoto wa kambo ana kimavi [emoji16]
 
Ila huyu mzee kapagawa Sana..Yeye ameshasahau kijasho kinamtoka 'kuokoteza' kura katika majimbo mbalimbali ya Tanzania halafu analazimisha watu wampigie kura wasiempenda!

Mzee 'sonona' itamchakaza asipokuwa makini.
 
Hawezi siasa, kisha katiba inatoa madaraka makubwa sana kwa rais kiasi kwamba anaweza kuyatumia vibaya atakavyo. Hii ndio maana ninasema, chini ya Magufuli hakuna uchaguzi, bali ni maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mkuu na hayo madaraka ya kikatiba hajayatumia hata robo. Nakwambia akija anayejua kuyatumia tutalia nakusaga meno.
 
Ila huyu mzee kapagawa Sana..Yeye ameshasahau kijasho kinamtoka 'kuokoteza' kura katika majimbo mbalimbali ya Tanzania halafu analazimisha watu wampigie kura wasiempenda!

Mzee 'sonona' itamchakaza asipokuwa makini.
Mhhh tutakna kama 28 October nani ataapishwa. Baada ya hapo
 
Kama sio mwanasiasa anafanya nini kwenye siasa? Si arudi University of Dar akafundishe science
Ni mwanascience alieingia kwenye siasa, hana kukupa moyo wala matumaini, anakwambia ukweli halisi
 
Hajakupangia mzee; kwenye sanduku la kupiga kura uko peke yako na una uhuru wa kumpigia kura mgombea yeyote, na unaweza kuharibu kura yako ukipenda. Mpiga kampeni yoyote kama Magufuli anaomba kura zake na za wabunge na madiwani wa chama chake tu. Anakuomba, hakupangii. Acha jazba; kama hukubaliani naye basi usimpigiea kura lakini usiseme kuwa amekupangia nani wa kumpigia kura yako.
 
Huyu kiongozi wa ajabu kweli kweli alianza kwenye chama anacho kimiliki kwa kukipora kuwapangia wabunge sasa kaja kwa wananchi kulazimisha mtu anaye mtaka yeye hatari zaidi ya Hitler.
 
Hakuna mwenye mamlaka ya kupangia watu wapigeje kura na ndio maana hata yeye anatembea kuomba kura, isingekuwa hivyo angekaa tu Chato akiangalia uwanja wake wa ndege akisubiri kuapishwa.
 
Hakuna mwenye mamlaka ya kupangia watu wapigeje kura na ndio maana hata yeye anatembea kuomba kura, isingekuwa hivyo angekaa tu Chato akiangalia uwanja wake wa ndege akisubiri kuapishwa.
Sijaona watu walipolazimishwa, nilichokiona ni anafanya kampeni wagombea wa chama chake wapigiwe kura.
Ni ujinga kufikiri unalazimishwa, kura ni siri yako.
 
Ni mwanascience alieingia kwenye siasa, hana kukupa moyo wala matumaini, anakwambia ukweli halisi
Kuongea ukweli wa moyoni mwake hakuna maana kuwa anaongea mambo yenye tija. Anachofanya hapo ni kosa kubwa kwa kiongozi, yeye sio mwanasayansi wa kwanza kuingia kwenye siasa, huyu ana matatizo yake tu.
 
Awapangie maccm tu huko wanaofikiri kwa matumbo yao
 
Kuongea ukweli wa moyoni mwake hakuna maana kuwa anaongea mambo yenye tija. Anachofanya hapo ni kosa kubwa kwa kiongozi, yeye sio mwanasayansi wa kwanza kuingia kwenye siasa, huyu ana matatizo yake tu
Mwanasayansi? Du nimecheka kama mazuri haya endeleeni kudhalilisha taaluma.
 
Sijaona watu walipolazimishwa, nilichokiona ni anafanya kampeni wagombea wa chama chake wapigiwe kura.
Ni ujinga kufikiri unalazimishwa, kura ni siri yako.
Kupenda kubaya chongo utaita makengeza haya hakuna sehemu kalazimisha aletewe diwani.
 
Hivi yeye si ni mgombea tu kama wengine , mamlaka ya kutupangia nani wa kutuongoza kayatoa wapi, kama amechoka kazi apumzike sio kuongea maneno ya ovyo ovyo na kuishia kuendelea kukishushia hadhi kiti cha urais.
 
Kwanza alisema kazi ni ngumu,
pili anatufokea wapiga kura,
tatu anataka kuongoza Hadi akili zetu na fikra zetu,
nne anatupangia tuchague nani,
tano hatufai,
sita akajiajiri,
Saba tunataka mtu mwingine atakaefanya kazi nasio kulala na mafile kitandani.
Pombe lazima tuimwage kwa nguvu zetu zote
 
Back
Top Bottom