Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Nimepitia bajeti ya wizara ya Afya 2024/25 iliyosomwa bungeni May 14, nimekutana na kituko kwa baadhi ya miradi. Mmoja wa mradi wenye kituko ni Uimarishaji ya Hospitali za Rufaa - Mawezi. Mradi huu ulihitaji Sh bilioni 7 na ukapokea bilioni 12 lakini bado haujakamilika, upo 86%. Yaani kuna sehemu ya hospitali haitoi huduma, sasa nawaza hili linawezekanaje, je hakuna anayefuatilia kujua kwamba hela imezidi na bado mradi unasuasua
Hela iliyozidi ni 69.8% ya hela iliyokadiriwa kutumiwa na mradi huo, je kuna upigaji?
Ufafanuzi wa Serikali - Wizara ya Afya yafafanua juu ya gharama za Mradi wa Hospitali za Rufaa Mawenzi
Hela iliyozidi ni 69.8% ya hela iliyokadiriwa kutumiwa na mradi huo, je kuna upigaji?
Ufafanuzi wa Serikali - Wizara ya Afya yafafanua juu ya gharama za Mradi wa Hospitali za Rufaa Mawenzi