Inakuwaje mtu anagoma kufa mpaka amuone mtu anayemhitaji kumuona?

Inakuwaje mtu anagoma kufa mpaka amuone mtu anayemhitaji kumuona?

Ukweli ni kwamba kuna madude fulani ya kishirikina wanakuwa wamemeza wazee hao, anaweza kuugua mpaka akaanza kuoza kabisa mwili lakini bado akawa anapumua na ikawa kero mpaka kwa wanaemuudumia. Sasa ili aweze kurest in pisi anamchagua mtoto ama mjukuu anayempenda anamrithisha madude yale na ndipo anapata nafasi ya kuondoka. Kama utafuatilia wanaosubiriwa kwa hamu namna hiyo nao huishi maisha marefu na ya taabu mwishoni kama waliowarithisha
 
Hii huwa inatokea katika jamii zetu.
Ni kwamba anayetarajia kufa huwa anamwomba mtu ili amwone na azungumze naye ndipo afe.
Kwahiyo anawaagiza watu wakamlete.

Wale watu wakirudi na kusema huyo mtu hawezi kuja katika kipindi husika basi huyo mzee anakufa na wala hasubiri hadi leo kama unavyosema.

Mgonjwa anapoomba kukutana na mtu ili ampe urithi au baraka au neno la mwisho anaangalia hali yake kiroho na anajua kuwa hana mda mrefu atafariki.

Ndipo sasa hutumia huo mda uliobaki kuomba kuonana na mtu wake anayetaka amuage na akikosekana katika kipindi alichokitaja basi huridhika na hufa.

Ukisoma hata vitabu vya dini utaona akina Isaka, Yakobo, Nuhu, Rutu, Eliya nk. Walikuwa wanawaita watoto wao, wanawabariki wanawarithisha ndipo wanafariki.

Mara nyingi hasa ukiwa mtu mwema unajua mda wa kifo chako hivyo unajiandaa vizuri kutubu na kuaga wapendwa wako.

Unajua kabisa unapo karibia kufa mwili hawa katika hali ambayo haijawahi kukutokea na unapiga kengele ya kifo kama unavyoisikia kengele ya njaa, kiu, haja, homa nk.

Haya mambo yapo.
Hivi mkuu Eliya alikufa baada ya kumwita mtoto wake ambariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma kwenye Bible kuna mzee mmoja alikuwa anakaa hekaruni akisubiri Yesu azaliwe,
Alipomuona tu akamshika mkononi akasema "sasa Bwana waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani" This means IMANI HUTENDA

a307db6a189556dbf810cd4c4d62aaff.jpg


Private geologist
 
Inategemea rafiki yangu aliachika kisa hila za mawifi na mkwe, cha ajabu mkwe aliugua akalazwa hospital akaomba sana aitwe mtalaka wa mwanae aongee nae ndugu hawakumwita aliomba sana hadi akafa bila ya kumuona na wifi zake wawili ni hivyo hivyo lakini mtalaka haitwi hadi wanakufa, naamini siku ikifika atakufa tu bila ya kumuona anayemtaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu Eliya alikufa baada ya kumwita mtoto wake ambariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mtoto tu hata jamaa wa karibu unaweza kumsubiria na kumwaga.

Eliya alimuaga Erisha hadi akamwambia,
"kama utaniona nitakapo ondoka basi ombi lako litakubaliwa"

Elisha akasema sikuachi hadi nione ukiondoka na ghafla gari la moto likamchua Eliya na kuondoka huku Elisha akiliona koti la Eliya likimdondokea na akalichukua.

Sio lazima wawe watoto au ndugu wa karibu. Inawezekana akawa rafiki au jirani.
 
Nimeshudia matukio mengi yanayo fanana na hayo..unaweza kuta mtu yupo kwenye hali mbaya ya kufa..pengine ata kauli amekata
Lakini akatokea mtu, yule mgonjwa akapata nafuu ya ghafla na akaongea vizuri na mtu wake..lakini utashangaa baada ya masaa unasikia kafariki..
Kama ad sasa amna mwenye wakika baada ya mauti nini kinaendelea basi ata hili limefichwa na tutabaki kusadiki tu.

young kilimanjaro
 
Nilisoma kwenye Bible kuna mzee mmoja alikuwa anakaa hekaruni akisubiri Yesu azaliwe,
Alipomuona tu akamshika mkononi akasema "sasa Bwana waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani" This means IMANI HUTENDA

a307db6a189556dbf810cd4c4d62aaff.jpg


Private geologist
Uko sawa kabisa mkuu, hili suala linagusa mpaka Imani za dini kwa rejea hiyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakika ya mauti kuna ulevi" hio ni kauli ya mtume wetu muhammad, ila ukiangalia hata kimedical kuna stage fulani before death nimeisahau nikija kuikumbuka nta edit ...
its happen a condition yule mgonjwa anachangamka then suddenly ana shutdown...
 
Ni kweli swala hili huwa linatokea na mara nyingine watu hawa huwa wanakufa kabla ya walioagiza waitwe hawajafika!
Binafsi nadhani huwa wanataka kuagana nao tu na ndio maana ikitokea mtu huyo hajafika mapema basi huwa wanakufa bila kuonana na waliohitaji kuwaona
unafikiri kuna aina yoyote ya nguvu hapo inayohusiana kama wengine wanavyodhani..?
 
Nilisoma kwenye Bible kuna mzee mmoja alikuwa anakaa hekaruni akisubiri Yesu azaliwe,
Alipomuona tu akamshika mkononi akasema "sasa Bwana waweza kumruhusu mtumishi wako aende kwa amani" This means IMANI HUTENDA

a307db6a189556dbf810cd4c4d62aaff.jpg


Private geologist
Good precedent
 
Kuna stage of death,binadam hana tofaut na myama ie kujitenga,,kutoona vizur,,kukosa ham ya kula,,but during the last stage of death controlled by emotion,,, yaan in that stage mtu anaweza kuamua kufa au asife,,kwa mfano mtu mwingine akihudumiwa vizur na akaridhika during this stage she,he may survive for several hour or day,kumbuka stage hii inatokea kama kuna natural death but not accident or attack

Sent using Jamii Forums mobile app
wacha porojo et anaamua kufa,kifo ingekuwa maamuzi hakun ambay angekubal!
ushaexperience kifo?
 
Back
Top Bottom