Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
"Peace cannot be kept by force, it can only be kept by understanding."
Albert Einstein
Hata hauwezi ukajiuliza kwamba existence ya hapa duniani ni kutokana na hali ya kutegemeana?
Bila ya technology kubwa ya mzungu, je mwarabu angeweza kuvuta na ku-process mafuta kwa kiwango kikubwa?
Bila ya mwarabu kugundua upasuaji mzungu angewezaje kuwa fundi mkuu wa maswala ya afya ya upasuaji duniani.
Tumeamua kuwa wahanga wa upumbavu wa watu wachache ambao hata huko kaburini wanatucheka sana kwamba ni namna gani wamefaulu kutapeli fikra zetu na sisi tukaingia kingi.
NAJUA ZITAKUJA COMMENTS ZA OVYO OVYO ZA KEJELI ILA TAMBUA UTAKACHO COMMENT SIO MSIMAMO WAKO BINAFSI ILA NI WA DINI YAKO.
Albert Einstein
Hata hauwezi ukajiuliza kwamba existence ya hapa duniani ni kutokana na hali ya kutegemeana?
Bila ya technology kubwa ya mzungu, je mwarabu angeweza kuvuta na ku-process mafuta kwa kiwango kikubwa?
Bila ya mwarabu kugundua upasuaji mzungu angewezaje kuwa fundi mkuu wa maswala ya afya ya upasuaji duniani.
Tumeamua kuwa wahanga wa upumbavu wa watu wachache ambao hata huko kaburini wanatucheka sana kwamba ni namna gani wamefaulu kutapeli fikra zetu na sisi tukaingia kingi.
NAJUA ZITAKUJA COMMENTS ZA OVYO OVYO ZA KEJELI ILA TAMBUA UTAKACHO COMMENT SIO MSIMAMO WAKO BINAFSI ILA NI WA DINI YAKO.