Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka leo nipo pamoja na wewe"Peace cannot be kept by force, it can only be kept by understanding."
Albert Einstein
Hata hauwezi ukajiuliza kwamba existence ya hapa duniani ni kutokana na hali ya kutegemeana?
Bila ya technology kubwa ya mzungu, je mwarabu angeweza kuvuta na ku-process mafuta kwa kiwango kikubwa?
Bila ya mwarabu kugundua upasuaji mzungu angewezaje kuwa fundi mkuu wa maswala ya afya ya upasuaji duniani.
Tumeamua kuwa wahanga wa upumbavu wa watu wachache ambao hata huko kaburini wanatucheka sana kwamba ni namna gani wamefaulu kutapeli fikra zetu na sisi tukaingia kingi.
NAJUA ZITAKUJA COMMENTS ZA OVYO OVYO ZA KEJELI ILA TAMBUA UTAKACHO COMMENT SIO MSIMAMO WAKO BINAFSI ILA NI WA DINI YAKO.
Lakini jua Mungu mwenyewe hayupo hivi"Peace cannot be kept by force, it can only be kept by understanding."
Albert Einstein
Hata hauwezi ukajiuliza kwamba existence ya hapa duniani ni kutokana na hali ya kutegemeana?
Bila ya technology kubwa ya mzungu, je mwarabu angeweza kuvuta na ku-process mafuta kwa kiwango kikubwa?
Bila ya mwarabu kugundua upasuaji mzungu angewezaje kuwa fundi mkuu wa maswala ya afya ya upasuaji duniani.
Tumeamua kuwa wahanga wa upumbavu wa watu wachache ambao hata huko kaburini wanatucheka sana kwamba ni namna gani wamefaulu kutapeli fikra zetu na sisi tukaingia kingi.
NAJUA ZITAKUJA COMMENTS ZA OVYO OVYO ZA KEJELI ILA TAMBUA UTAKACHO COMMENT SIO MSIMAMO WAKO BINAFSI ILA NI WA DINI YAKO.
Hizi mada zimekuwa nyingi hadi kuzoeleka. Kikubwa kwenye haya maisha ni ngono na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria kufa."Peace cannot be kept by force, it can only be kept by understanding."
Albert Einstein
Hata hauwezi ukajiuliza kwamba existence ya hapa duniani ni kutokana na hali ya kutegemeana?
Bila ya technology kubwa ya mzungu, je mwarabu angeweza kuvuta na ku-process mafuta kwa kiwango kikubwa?
Bila ya mwarabu kugundua upasuaji mzungu angewezaje kuwa fundi mkuu wa maswala ya afya ya upasuaji duniani.
Tumeamua kuwa wahanga wa upumbavu wa watu wachache ambao hata huko kaburini wanatucheka sana kwamba ni namna gani wamefaulu kutapeli fikra zetu na sisi tukaingia kingi.
NAJUA ZITAKUJA COMMENTS ZA OVYO OVYO ZA KEJELI ILA TAMBUA UTAKACHO COMMENT SIO MSIMAMO WAKO BINAFSI ILA NI WA DINI YAKO.
Hitaji kubwa la mwanadam ktk maisha ni parmanent happiness ndo maana watafuta maarifa hawachoki kutafuta suluhu.Hizi mada zimekuwa nyingi hadi kuzoeleka. Kikubwa kwenye haya maisha ni ngono na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria kufa.
Kwanini kuangaika angaika?
Upo sahih mkuuLakini jua Mungu mwenyewe hayupo hivi
Tunapishana kauli humu ila ndiyo jamii hiyoI appreciate
By nature binadam ni mwema ndo maana akitenda ubaya hujutia, kilichomtoa ktk asili yake ni nadharia ya EVILSio vibaya ukashusha nondo
By nature binadam ni mwema ndo maana akitenda ubaya hujutia, kilichomtoa ktk asili yake ni nadharia ya EVIL
Nadharia ya evil ndo anguko la mwanadam, inayotufanya watumwa wa evil circle bila kujua.
Nadharia ya evil kwa sasa ndo mfumo endeshi wa matendo yetu, hata imani zetu zimejengwa ktk msingi wa nadharia hii ndo maana hata uwe na imani kubwa kias gan huwezi ushinda uovu kwa 100%.
Kuna vitu ni miradi ya watu hivo haipaswi kuijadili sana, zaidi ya kutafuta suluhu za kibinafsi.
Imeanzishwa na watu kama zilivyo nadharia nyingine.Na hiyo nadharia iliibukaje au iliibuliwa na nini au nani?