Forced marriage.Kitaalam hiyo ni ndoa ya utotoni
Inakuwaje Nchi inapata Uhuru lakini inaomba misaada?Tofauti na zamani ila ndoa nyingi zinazofugwa miaka ya hivi karibuni tumeshuhudia vijana wengi wanaoa unakuta bado anategemea nyumbani asaidiwe.
Kuna wengine anaoa yeye na mkewe anaishi nae nyumbani kwao na hapo unakuta kila kitu anategemea nyumbani familia imuhudumie yeye na mkewe.
Ni kwanini hali hujitokeza nini chanzo?
Inakuwaje Nchi inapata Uhuru lakini inaomba misaada?
Forced marriage.