Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Nimechukulia Kgm kama mfano tu, hoja yangu ni kwamba kwa nini kila mtu TZ nzima ni mpenzi wa Yanga au Simba hata kama hawajazaliwa na wala hawakulia Dar, kwa nini wasiwe wapenzi wa timu zao huko Mikoani? Kwa mfano mtu Iringa kwa nini ashabikie Yanga au Simba na siyo Lipuli?
Kila Mkoa una timu zake sasa hizi timu za Mikoani zina maana gani kama watu wa Kigoma wanakuwa wanachama wa Simba au Yanga?
Je ni muendelezo ule ule wa sisi Waafrika weusi kutokuelewa Dunia inavyokwenda?
Kila Mkoa una timu zake sasa hizi timu za Mikoani zina maana gani kama watu wa Kigoma wanakuwa wanachama wa Simba au Yanga?
Je ni muendelezo ule ule wa sisi Waafrika weusi kutokuelewa Dunia inavyokwenda?