Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Nimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Kulikoni wadau,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaSiti ya mbele
Jaribu kuweka link au screenshot ya hizo rate tuoneNimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Futatilia mkuu kenya wako vizuri sanaSio kweli KWA AFRICA MASHARIKI TANZANIA PEKEE NDIO INARIBA NZURI NYINGINE HAKUNA
Nani mwenye 15% hapa bongo?Nimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Sio kweli, Kenya wametuacha mbali sanaSio kweli KWA AFRICA MASHARIKI TANZANIA PEKEE NDIO INARIBA NZURI NYINGINE HAKUNA
Kuna Sheria na taratibu zinazoongoza hii mifuko kwa hio hawawezi kuizidi BOTNimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
BOTNani mwenye 15% hapa bongo?
Mh kwa record zangu MMF za kenya mwaka huu na mwakaNimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Hata 18 sio kiduchu mkuuMh kwa record zangu MMF za kenya mwakanhuu na mwaka
Jana zilifika 18% kama Sikosei waliofika 18% ni cyton na lofty ila Wengine wako btwn 13% hadi 16% Sijawah sikia MMF or MF za kenya zinafika 20% .
Govt Bond za ke
Kabisa 18% ni rate nzuri kabisa infact any rate above 10% ni rate nzuri maana automaticaly inakulinda na inflationHata 18 sio kiduchu mkuu
Mutual funds za kenya zina investment opportunities nyingi, pia public companies za huko ni kati ya companies zinazofanya vzr sana africa. Angalia tu NSE-ASI (Index ya Nairobi exchange) imetoa return ya 34.69% kwa mwaka huu. That means kama tu kwa mwanzo wa mwaka ungenunua index ya NSE-ASI ungekua na return ya 34.69%Nimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Duh 34% huku ndio kwenyewe sasaMutual funds za kenya zina investment opportunities nyingi, pia public companies za huko ni kati ya companies zinazofanya vzr sana africa. Angalia tu NSE-ASI (Index ya Nairobi exchange) imetoa return ya 34.69% kwa mwaka huu. That means kama tu kwa mwanzo wa mwaka ungenunua index ya NSE-ASI ungekua na return ya 34.69%
Soko lao la hisa limechangamka sana sio kama letu. So funds nyingi za kibongo zinaishia kuwekeza kwenye bonds pekee na sidhan hata kama zinadeal na private equity.
Hizo ni MONEY MARKET FUND. Zifuatilie vizuri uone wanavyowekezaNimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,