Inakuwaje Mutual Fund za Kenya zinatoa faida 25%?

Inakuwaje Mutual Fund za Kenya zinatoa faida 25%?

Mh kwa record zangu MMF za kenya mwaka huu na mwaka
Jana zilifika 18% tena kama Sikosei waliofika 18% ni cyton na lofty ila Wengine wako btwn 13% hadi 16% Sijawah sikia MMF or MF za kenya zinafika 20% .

Kenys wana MF nyingi sana na zimeanza zaman sana 20yrs ago na sasa hivi wameingia kwa fyjo kwenye ETF's

By the way niko kwenye moja ya ETF yao..

Mkuu Fredwash , kwahiyo kuwekeza huko mf/mmf Kenya kuna faida zaidi kuliko hizi mf za Tz?

Wanaruhusu foreign investors? na kama wanaruhusu, risk ni ipi kwa mtu kuwekeza kwenye mutual funds za nchi nyingine ambayo siyo raia wa nchi hiyo?
 
Mkuu Fredwash , kwahiyo kuwekeza huko mf/mmf Kenya kuna faida zaidi kuliko hizi mf za Tz?

Wanaruhusu foreign investors? na kama wanaruhusu, risk ni ipi kwa mtu kuwekeza kwenye mutual funds za nchi nyingine ambayo siyo raia wa nchi hiyo?
 
Mmmh mada za wasomi.... Kayumba tupo paleee kwenye muhadhara wa yule jamaa wa India
 
Hii elimu ya finance wabongo wengi hatuna na hatuipati kabisa kwa wakati sahihi. Sad !!

Mtu unakaribia kuingia umri wa majeruhi, mkononi umebahatika kusave let say TSH 20M (very very hardly earned & saved), na kwa umri ulivyo unaona kabisa hii ni 'penalti ya mwisho'.....

Connections za kibiashara hauna!
Biashara za kuingia mwenyewe kichwa kichwa napo unaogopa kifo cha mende!
Elimu au knowledge ya mutual funds/bonds hauna!

Unabaki njiapanda tu na kuwaachia bank hiyo TSH 20m waendelee kuipukuchua kwa monthly charges zao za kiwizi.

Kwakweli kwenye financial literacy, watz wengi tuna knowledge gap kubwa mno!

Fredwash , kali linux
 
Mkuu Fredwash , kwahiyo kuwekeza huko mf/mmf Kenya kuna faida zaidi kuliko hizi mf za Tz?

Wanaruhusu foreign investors? na kama wanaruhusu, risk ni ipi kwa mtu kuwekeza kwenye mutual funds za nchi nyingine ambayo siyo raia wa nchi hiyo?
Kiongozi faida ni kama hizi za UTT tu sababu MF nyingi duniani mifumo yanuendeshaji inafanana kama vile mifumo ya kibank worldwide inafanana.. ingawa kwa kenya soko lao pana zaidi.. kwa maana ya kuwa wanakampuni kubwa nyingi zaidi..

na kuhusu risk kama unazungumzia risk za ww kama foreigner kuwekeza kule hapana risk ya kuogopa sababu unajisajili kwenye mfumo rasmi na foreign investor wanaruhusia kama ilivyo hapa UTT

Anyway kikubwa kwa Kenya wana uwanja mpana wa hii mifuko.. na ipo ambayo ina miaka mingi sokoni na ipo ambayo ya miaka ya karibuni kuna inayotoa dividends na kuna ambayo haitoi unakuwa unakuza mtaji kikubwa kwanza weka malengo kisha tafuta mfuko unaofaa malengo yako

Ngoja nikupe mfano mdogo kupitia mie sababu nina UTT kwa nje nilitaka uwekezaji wa kitofauti nilitaka niwekeza kwanza kwanza kwanza kwa fedha ya kigeni ila nikitumia Tsh lakini pia nilitaka njia ya kuwekeza kwenye masoko ya hisa ya duniani (mainly china and US) mfano kwenye masoko ya kampuni za teknolojia (microsoft,apple) , afya(pizfier), madini (gold) na mengineyo.. sasa kawaida unatakiwa uwe na pesa ndefu kuwekeza direct kwenye masoko hayo au kama unaishi marekani unaweza kuwekeza kwenye ETF zao ila nje ya marekani as individual ni ngumu

Sasa kwa kenya walianzisha Funds ambayo inatoa uwekezaji wa ETF kitu ambacho nilikuwa nakitaka ili ku diversify my portfolio ndio maana nikawekeza huko kwenye mfuko wao wanauita NDOVU

Nilichokifanya ili transactions ziwe rahsi nilifungua account ya KCB TZ sababu ni bank ya kenya na mfuko niliowekeza custodian ni KCB ili kupunguza ukiritimba wa kati ya taasisina taasisi so na deposit kwenye account nalipia kupitia account yangu ila kwenye uwekezaji wangu inasoma pesa ya kenya na mfuko mwingine US dollar
 
Kiongozi faida ni kama hizi za UTT tu sababu MF nyingi duniani mifumo yanuendeshaji inafanana kama vile mifumo ya kibank worldwide inafanana.. ingawa kwa kenya soko lao pana zaidi.. kwa maana ya kuwa wanakampuni kubwa nyingi zaidi..

na kuhusu risk kama unazungumzia risk za ww kama foreigner kuwekeza kule hapana risk ya kuogopa sababu unajisajili kwenye mfumo rasmi na foreign investor wanaruhusia kama ilivyo hapa UTT

Anyway kikubwa kwa Kenya wana uwanja mpana wa hii mifuko.. na ipo ambayo ina miaka mingi sokoni na ipo ambayo ya miaka ya karibuni kuna inayotoa dividends na kuna ambayo haitoi unakuwa unakuza mtaji kikubwa kwanza weka malengo kisha tafuta mfuko unaofaa malengo yako

Ngoja nikupe mfano mdogo kupitia mie sababu nina UTT kwa nje nilitaka uwekezaji wa kitofauti nilitaka niwekeza kwanza kwanza kwanza kwa fedha ya kigeni ila nikitumia Tsh lakini pia nilitaka njia ya kuwekeza kwenye masoko ya hisa ya duniani (mainly china and US) mfano kwenye masoko ya kampuni za teknolojia (microsoft,apple) , afya(pizfier), madini (gold) na mengineyo.. sasa kawaida unatakiwa uwe na pesa ndefu kuwekeza direct kwenye masoko hayo au kama unaishi marekani unaweza kuwekeza kwenye ETF zao ila nje ya marekani as individual ni ngumu

Sasa kwa kenya walianzisha Funds ambayo inatoa uwekezaji wa ETF kitu ambacho nilikuwa nakitaka ili ku diversify my portfolio ndio maana nikawekeza huko kwenye mfuko wao wanauita NDOVU

Nilichokifanya ili transactions ziwe rahsi nilifungua account ya KCB TZ sababu ni bank ya kenya na mfuko niliowekeza custodian ni KCB ili kupunguza ukiritimba wa kati ya taasisina taasisi so na deposit kwenye account nalipia kupitia account yangu ila kwenye uwekezaji wangu inasoma pesa ya kenya na mfuko mwingine US dollar

Shukrani sana mkuu kwa muda wako. Information is power.

Hiyo ya kuwekeza nje ya nchi naona ni big deal coz unakuwa na faida mbili:

1. Interest rate kubwa kuliko hapa Tz. Mfano kwa Kenya, Lofty na Etica wanatoa interest rate hadi 18.30% na 18.13% respectively. Unlike to Tz ambapo mifuko yote hakuna inayotoa interest rate zaidi ya 13% if am getting it right;

2. Foreign currency ni more stable kuliko TSH. Mfano tu KES or USD against TSH... KES na USD zinazidi kupaa kila uchwao. So ukiwekeza kwenye mifuko ya nje kwa hizo mentioned currencies (let say for 10 years), kama wewe ulivyofanya, unakuwa on safe side kifaida kwa muktadha wa 'currency exchange' tu pekee na inflation concern.

Mkuu, am I getting it right?
 
Shukrani sana mkuu kwa muda wako. Information is power.

Hiyo ya kuwekeza nje ya nchi naona ni big deal coz unakuwa na faida mbili:

1. Interest rate kubwa kuliko hapa Tz. Mfano kwa Kenya, Lofty na Etica wanatoa interest rate hadi 18.30% na 18.13% respectively. Unlike to Tz ambapo mifuko yote hakuna inayotoa interest rate zaidi ya 13% if am getting it right;

2. Foreign currency ni more stable kuliko TSH. Mfano tu KES or USD against TSH... KES na USD zinazidi kupaa kila uchwao. So ukiwekeza kwenye mifuko ya nje kwa hizo mentioned currencies (let say for 10 years), kama wewe ulivyofanya, unakuwa on safe side kifaida kwa muktadha wa 'currency exchange' tu pekee na inflation concern.

Mkuu, am I getting it right?
Mm nimejaribu kuchek return n almost 15% ambapo pia Kodi za serikali n almost 2% ko faida n kama hiz za huku tz
 
Mm nimejaribu kuchek return n almost 15% ambapo pia Kodi za serikali n almost 2% ko faida n kama hiz za huku tz

Thanks. Kama ni hivyo basi rate zinaendana tu na hapa Tz. Labda isipokuwa ile concern ya benefit on exchange rate basis (KES au USD against TSH). Mfano ukiwekeza kwa USD let say for ten years hivi.
 
Thanks. Kama ni hivyo basi rate zinaendana tu na hapa Tz. Labda isipokuwa ile concern ya benefit on exchange rate basis (KES au USD against TSH). Mfano ukiwekeza kwa USD let say for ten years hivi.
Yeah uko sawa lakin pia nmeona rate ya uwekezaji kwa uss n almost 7to 10%
 
Shukrani sana mkuu kwa muda wako. Information is power.

Hiyo ya kuwekeza nje ya nchi naona ni big deal coz unakuwa na faida mbili:

1. Interest rate kubwa kuliko hapa Tz. Mfano kwa Kenya, Lofty na Etica wanatoa interest rate hadi 18.30% na 18.13% respectively. Unlike to Tz ambapo mifuko yote hakuna inayotoa interest rate zaidi ya 13% if am getting it right;

2. Foreign currency ni more stable kuliko TSH. Mfano tu KES or USD against TSH... KES na USD zinazidi kupaa kila uchwao. So ukiwekeza kwenye mifuko ya nje kwa hizo mentioned currencies (let say for 10 years), kama wewe ulivyofanya, unakuwa on safe side kifaida kwa muktadha wa 'currency exchange' tu pekee na inflation concern.

Mkuu, am I getting it right?
Yes you are right na hilo lilikuwa moja ya lengo langu.. kutengeneza safe net ya foreign. Currency (Ksh na USD) nikitagert 10+ years of investment huku nikiwa naongeza capital kwa kadiri nitakavyoweza
 
Yes you are right na hilo lilikuwa moja ya lengo langu.. kutengeneza safe net ya foreign. Currency (Ksh na USD) nikitagert 10+ years of investment huku nikiwa naongeza capital kwa kadiri nitakavyoweza

Great! I am on your footprints mkuu.

Ikikupendeza, na kwa ruhusa yako, nitakuja PM ili unimegee some details and basics kuhusiana na hili.
 
Mh kwa record zangu MMF za kenya mwaka huu na mwaka
Jana zilifika 18% tena kama Sikosei waliofika 18% ni cyton na lofty ila Wengine wako btwn 13% hadi 16% Sijawah sikia MMF or MF za kenya zinafika 20% .

Kenys wana MF nyingi sana na zimeanza zaman sana 20yrs ago na sasa hivi wameingia kwa fyjo kwenye ETF's

By the way niko kwenye moja ya ETF yao..
Naomba muongozo kwenye hili mkuu
 
Back
Top Bottom