Inakuwaje Mutual Fund za Kenya zinatoa faida 25%?

Mkuuu naomba utuelezee more about this
 
100% !!
 
Kiongozi itakuwa
Rahisi kwangu kukuelezwa kama nitafaham unahitaj kujua nini labda cha zaidi
mkuu kwema? mimi ni mwanachama wa UTT wa muda sasa, nimevutiwa na maelezo uliyotoa katika uzi huu, nimeshawishika kuanza kuwekeza katika mutual fund za Kenya. Naomba kujua mfuko mzuri ni upi, riba yake ni asilimia ngapi? makato ya kodi na gharama nyungine yapoje? na nikitaka kujiunga sasa hivi naanzia wapi? Asante sana mkuu kwa darasa zuri
 
Karibu mkuu nishaifungua ila saturday ndio siku nzuri walau napataga mda wa kuingia huku mara kwa mara
 
Karibu mkuu nishaifungua ila saturday ndio siku nzuri walau napataga mda wa kuingia huku mara kwa mara

cheers mkuu. Nimeshakutumia pm.

Okay, on your suitable time nitafurahi kusoma response yako on my issue privately. Blessings.
 
Karibu mkuu nishaifungua ila saturday ndio siku nzuri walau napataga mda wa kuingia huku mara kwa mara
Kaka Kwema? kwanini ulichagua mutual fund ya ndovu? Nimefanya tafiti ndogo, nimegundua LOFTY CORBAN ndio mutual fund yenye rate kubwa Kenya kwa sasa, why umechagua ndovu? Hii Lofty Corban nimeona wana mifuko mitatu, upo mmoja ambao ni hight risk, nataka kuweka hela kidogo, na mwingine ni low risk, ntaweka hela nyingi.
Ila mifuko yao ina Kes na USD option nzuri ni ipi? taratibu gani naweza kufuata kujiunga? je hiyo riba ya asilimia kumi na nane wakikata na kodi si tunarudi kwenye riba sawa na UTT?
 
mkuu Fredwash naomba uje useme neno hapa
 
mkuu kayanda01 vipi una neno la kutia hapa?
 
Nimeshangaa sana watu wanakula faida 25% kwa mwaka tofauti na hapa bongo kubwa ni 15% huku wengi wakiishia 12%
Kulikoni wadau,
Huku performance nzuri ilikuwa 2021 mfuko wa wekeza maisha ulifikisha mpaka asilimia 25% sasahivi wakitoa sana ni 15%
 
Hii Jamii forum bwana, nyuzi za maana hivi zinaishia page ya tatu zinakufa, watu hawataki kuchangia, ingekuwa ni uzi wa kujadili ngono tungekuwa page ya 200
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…