Inakuwaje mwanamke aliyeolewa anajiachia namna hii?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haki wewe ni bangi,, nimecheka hiyo comment yako uliyofuta.. yaani jamaa ana akili za ki 'bra bra' sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uko na wild thoughts baba Dickson
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haki wewe ni bangi,, nimecheka hiyo comment yako uliyofuta.. yaani jamaa ana akili za ki 'bra bra' sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Halafu sijaifuta mimi ujue 😂😂
Mods wana vimbele mbele kwa mambo yasiyo na msingi hakyanani!😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe wao ndiyo wamefuta?? Hawajaona pumba za watu wengine kule juu wakaona comment yako tu??[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Halafu sijaifuta mimi ujue [emoji23][emoji23]
Mods wana vimbele mbele kwa mambo yasiyo na msingi hakyanani![emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe wao ndiyo wamefuta?? Hawajaona pumba za watu wengine kule juu wakaona comment yako tu??[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
😂😂😂😂 wamefuta wao,mie huwa sifuti nilichoandika

Labda bra bra imewakumbusha mbali 😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 wamefuta wao,mie huwa sifuti nilichoandika

Labda bra bra imewakumbusha mbali 😂😂😂😂😂😂😂
duu jamani hiyo bra bra mbona hivyo mimi mkurya jamaniii lol
 
Ndugu zangu ijumaa hii Mungu amenibaliki kuongeza maarifa kwa watakao kuwa morogoro ndugu yenu nina graduate moja ya chuo kikuu pale morogoro karibuni sana ilikuwa shughuli pevu sana at last we made it
Kwa uandishi huo,kama wewe ni KE hakuna tatizo ila kama wewe ni ME basi una tatizo kubwa sana.
huo mtazamo wako man,try me dawg
 
Ndugu zangu ijumaa hii Mungu amenibaliki kuongeza maarifa kwa watakao kuwa morogoro ndugu yenu nina graduate moja ya chuo kikuu pale morogoro karibuni sana ilikuwa shughuli pevu sana at last we made it

huo mtazamo wako man,try me dawg
Aisee!
 
najua kaka mimi mtoto wa hapa hapa town mwanzo nilijua kama mdangaji lakini with time akuwa hivyo mzee baba ila wenzake aliokuwa nao wanatia shaka nikajiuliza wanakosea wapi hawa watu swadakta kabisa kaka
Wabeberu husema hivi "NDEGE WAFANANAO HURUKA PAMOJA". Huyo manzi na wenzake ni wadangaji.
 

Ndio ujue hawa wee gegeda tuu ukipenda ujue tutaku peace and love mapema tuu.
 
Ngoja ulale usiku uikute inakukanda kanda kuashiria kuna jambo inataka kutekeleza Ushimen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…