Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ndio maana sikuhizi nimekuwa mnywaji mzuri wa kahawa. Tena nakunywa nyumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana sikuhizi nimekuwa mnywaji mzuri wa kahawa. Tena nakunywa nyumbani.
Mmekuwa mafurushi.Siku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
Zamani ipi uliyokuwepo wewe?!?!?!Siku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
Wewe ushasema umeshampitia huyo mke wa mtu... Hapo una wengine wasio wake za watu...nimegundua humu kuna watu wana mawazo finyu sana sijui ni roho mbaya na umaskini wa fikra na kipato mimi hoja yangu sio kusema nina gari na nimetoa ofa ya serengeti lite hoja yangu ni kwamba wake za watu wanakwama wapi wako cheap sana shida hiko wapi
Na mleta UZI ajiulize nakosea wapi??! Bagamoyo alienda mlingotini? Wise EUnajiuliza wanawake wanakosea wapi, jiulize pia huyo mumewe nae kakosea wapi, huwezi kuwa na mwanamke wa namna hiyo ukampa hadhi ya kuitwa mke!!
Ujue cheo cha mke au mume kina hadhi kubwa saana, na si kila mtu anapaswa apate hiyo, wengine wana hadhi ya kugongwa tu na kuachwa sio kuweka ndani, unajikuta unakaribisha magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ambukizwa.
Shikamoo mpenzi, unataka niongeze volume?Etiii....??? [emoji57]View attachment 1266951
So Mke anapigwa msasa na Mumewe anapumuliwa nyuma kisha asubuhi wanakutana kutoa hesabu walizopata?Me mtoto wa town nakosaje kujua ishu ndogo ndogo kama hizo? Magomeni, Ilala na K.koo wana maisha ya peke yao na huwezi kudhania.
Nini sasa[emoji849][emoji24]
Hata zamani walikuwa wanachepuka sema siku hizi mitandao inafanya tujue mengi niko na rafiki yangu msukuma pure lakini ana dada muhindi na huyu alizaliwa early 1960sSiku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
Nikisema zamani unaelewa lakiniZamani ipi uliyokuwepo wewe?!?!?!
Mmekuwa mafurushi.
Kwani nani huwa anajiita "kichwa cha familia"???????Tunakuaje mafurushi sisi wakati wachepukaji ni wao ?
Kwa nn wao wasiwe mafurushi we bibi chau
Sitaki pole ya kinafki kama vipi achana na huyo uje kwangu kwanza.Jamani pole
Mi kumuacha siwezi bwanaSitaki pole ya kinafki kama vipi achana na huyo uje kwangu kwanza.
Kaka kuwa mwangalifu wengine wanakua washaumia ndomana hawajal wala nn unaweza sema umeokota dodo kumbe ndo upupuyap nimekupata baharia gari yenyewe ya kawaida kaka ilimradi mvua isinyeshee