- Thread starter
- #81
mkuu poa mbona nilishia jikataaa kitambo though bado anapiga simu sana nashukuru kwa ushauriiDah! Mkuu una umri gani? Uliona wapi nguchiro akashinda na kenge?
Hao wote kundi moja ila anakuweka kwenye target ili ujae na akuchukue sawasawa.. Kuwa makini