financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mpendezeshe mkeo awe mtamu kama huyo mke Wa jamaa , umemuharibu mkeo amekua si mtamu tena,unatamani vya wenzio[emoji12]Shemeji, Mke Wa M2 Mtamu Aisee! Loh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpendezeshe mkeo awe mtamu kama huyo mke Wa jamaa , umemuharibu mkeo amekua si mtamu tena,unatamani vya wenzio[emoji12]Shemeji, Mke Wa M2 Mtamu Aisee! Loh
Ndio kisingizio chao mbwa hao ila ada zikikosekana mjengoni panawaka hapo! Sasa uchague kumpa time au kutafta hela.sijajua kuna nini lakini wengi wanalalamika kwamba mume amebadilika hayuko kama zamani ampi muda wa kutosha anaoana kama ajaliwi tena
Ukimpendezesha mabaharia wanam mezea umate mate kisha wanapangaMpendezeshe mkeo awe mtamu kama huyo mke Wa jamaa , umemuharibu mkeo amekua si mtamu tena,unatamani vya wenzio[emoji12]
Kwa hiyo huna mpango wa kunipendezesha?Ukimpendezesha mabaharia wanam mezea umate mate kisha wanapanga
mashambulizi ya kujimegea kisela, bora awe kawaida tu...[emoji23][emoji23][emoji23]
We lazma upendeze mamsap, ila sharti kuu hamna kuzurura hovyo 😂😂😂Kwa hiyo huna mpango wa kunipendezesha?
[emoji7][emoji7] I love youWe lazma upendeze mamsap, ila sharti kuu hamna kuzurura hovyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Luv u more chwitiee😍😍😍[emoji7][emoji7] I love you
Iko hivi..Dunia hii inakwenda kasi sana,wake za watu kama wanawake wengine wote duniani ambao waliumbwa na udhaifu mkubwa,ukiachana na uhaba wa nguvu za kiume,upungufu wa pesa majumbani swala #1 lililoharibu watu ni utandawazi,maadili yamechanganywa na maadili yasiyo ya kwetu huku Afrika,wanawake ni wazuri sana wa kutazama tamthilia na movie zozote zile ilimradi zinazungumzia mapenzi mapenzi,akili zao zinawadanganya kua yale wayaonayo kwenye tamthili hao ndiyo maisha wanayotakiwa kuishi na kumbe si kweli, swala #2 ni matatizo ya dunia juu ya utafutaji,ugumu umesababisha wanaume kushiriki utafutaji na wanawake kwa pamoja kwa lengo la kulea familia,hawa wanawake wanapokua huko nje kwenye utafutaji hawana moyo wa kukwepa mitego ya wanaume ilihali na wewe mwanaume umemruhusu kwenda mitaani,kusafiri na kukaa huko madukani na maofisini kitu ambacho kukikwepa ni ngumu kwa dunia ya sasa, simu za mkononi zina mambo mengi yanayoonekana humo ambayo yamejaa misingi ya kigeni na tamaduni za watu weupe wasio na staha,wanawake zetu hawa wanaingia sana facebook,Instagram na kwingineko na kuiga ya huko wakidhani ni sehemu halisi ya maisha hayanimegundua humu kuna watu wana mawazo finyu sana sijui ni roho mbaya na umaskini wa fikra na kipato mimi hoja yangu sio kusema nina gari na nimetoa ofa ya serengeti lite hoja yangu ni kwamba wake za watu wanakwama wapi wako cheap sana shida hiko wapi
Kwahiyo ulimla?hoja sio kusema ninamiliki gari kwani gari ni kitu gani,ninazungumzia experience ya wake za watu wanavyokuwa rahisi sana kipindi hiki
sory dudeKwakweli huwa simuelewi kabisa mwanaume nayejiona au anajisifu kuwa yeye ni mzuri
point mkuu mwanamke yeyote mlevi afai kuwa mke utapigiwa tuu,Mwanamke yeyote anayetumia kilevi ni rahisi sana kuliwa , hilo halina ubishi kabisa.
Na akishakuwa mnywaji mzoefu duh ni hasara kabisa, atakuwa analiwa na kila mwenye nia.
Na mume wa mtu ni asali kwahyo wala usiwaogope hawana neno
Unafikiri pombe ni Chai..!!!?kwanini mwamba
ha ha we jamaaa sio mtu mzuriiUnafikiri pombe ni Chai..!!!?
Dah! Mkuu una umri gani? Uliona wapi nguchiro akashinda na kenge?najua kaka mimi mtoto wa hapa hapa town mwanzo nilijua kama mdangaji lakini with time akuwa hivyo mzee baba ila wenzake aliokuwa nao wanatia shaka nikajiuliza wanakosea wapi hawa watu swadakta kabisa kaka
siamaini kama ni muuzaji ana behave poa any way jamii forum hii ina wakali wa hizi kazi
hizi ni the other side of story nimeeleza yanayotokeaga tuu kama kutoa uzoefu upaleni natokaje kwa mfano kakaMkuu vipi umetoka upaleni? Kuwa makini na wanawake wanaovaa madela huku ana mkufu mkubwa na mapete ya gold fake na smart phone kubwa hao ni wadangaji tu mbaya zaidi huyo hajaolewa ila anakutafutia target nzuri ya kukuweka sawasawa.
Alishakusoma siku ya kwanza kuwa ww ni mtu Wa aina gani..
Iko siku ukiwa unamgonga atakuja kuwapanga wahuni wajifanye mmefumaniwa watakupiga hela nzuri tu