Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najua kaka mimi mtoto wa hapa hapa town mwanzo nilijua kama mdangaji lakini with time akuwa hivyo mzee baba ila wenzake aliokuwa nao wanatia shaka nikajiuliza wanakosea wapi hawa watu swadakta kabisa kakaBila shaka ulikuwa kwa dicksound,ukasogea hapo chini kidogo mkono wa kulia,hao wapambanaji(malaya),sema uuzaji tu unatofautiana hao wametega bar,ambiance wanasimama barabarani.
niko kawaida ila wengine hatuko vizuri kwenye kuelezea story hope context imeeleweka mamaMtoa mada uko bia ya ngapi? Ngoja waje wanywa bia wenzio labda wataelewa ulichoandika
kaka sijawai kulelewa natumia cash yangu mwenyeweMkuu, kwanza naomba nikipongeze kwa kumili gari huko Daslam...
Lakini kuhusu huyo mama, sioni nini la kukushairi maana wanaume wa huo mkoa mlisha zowea kulelewa....View attachment 1265500
Ohhh...kaka sijawai kulelewa natumia cash yangu mwenyewe
yaani asubuhi meseji kibao tuonane sijui nini full kulalamika nikasema huyu anataka dyudyu lolEti bra bra!!😂😂😂
yap nimekupata baharia gari yenyewe ya kawaida kaka ilimradi mvua isinyesheeOhhh...
Basi sawa mkuu, lakini pongezi zangu umezipata bilashaka...
mkuu typing error tuu muhimu context umeipata usikomae sana na vitu vidogo dogoHabali- habari
siku hizi nguvu aitumiki sana na jana nilikuwa nae bagamoyo balaa zitoNimeelewa hapo kwenye "good looking man" promo jipigie mwenyewe usisubiri kupigiwa, safii. Ila kuwa makini mke wa mtu sumu ,ila kama una maziwa just proceed na hatua zinazofuata...
Leo mbona unaandika vizuriniko kawaida ila wengine hatuko vizuri kwenye kuelezea story hope context imeeleweka mama
ha ha acha buana hapa niko fresh kabisaLeo mbona unaandika vizuri
yuko very smart kichwani aisee anasema amependa ukarimu wangu siku ya kwanzaNyumbani atakuwa anakosa huduma stahiki
sijajua kuna nini lakini wengi wanalalamika kwamba mume amebadilika hayuko kama zamani ampi muda wa kutosha anaoana kama ajaliwi tenaSiku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
dar 1500 labda kwenye vibanda vyenu huko tunakula lite hadi kwa 3000 acha kushobokasasa viserenget lite 1,500/= si naweza kutoa ofa hata creti
Haaa, tayari ushamchapa nao? Akii ni hatari hii.siku hizi nguvu aitumiki sana na jana nilikuwa nae bagamoyo balaa zito
yeye ndio amekomaa sana jana twende bagamoyo hata sikuwahi kuomba game can u imagine nikampeleka sasa ninagafanyajeHaaa, tayari ushamchapa nao? Akii ni hatari hii.
Yaani kreti 5 na huna habari kama umetumia hela...sasa viserenget lite 1,500/= si naweza kutoa ofa hata creti