Inakuwaje mwanamke aliyeolewa anajiachia namna hii?

Inakuwaje mwanamke aliyeolewa anajiachia namna hii?

hoja sio kusema ninamiliki gari kwani gari ni kitu gani,ninazungumzia experience ya wake za watu wanavyokuwa rahisi sana kipindi hiki
 
Bila shaka ulikuwa kwa dicksound,ukasogea hapo chini kidogo mkono wa kulia,hao wapambanaji(malaya),sema uuzaji tu unatofautiana hao wametega bar,ambiance wanasimama barabarani.
najua kaka mimi mtoto wa hapa hapa town mwanzo nilijua kama mdangaji lakini with time akuwa hivyo mzee baba ila wenzake aliokuwa nao wanatia shaka nikajiuliza wanakosea wapi hawa watu swadakta kabisa kaka
 
Siku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
sijajua kuna nini lakini wengi wanalalamika kwamba mume amebadilika hayuko kama zamani ampi muda wa kutosha anaoana kama ajaliwi tena
 
sasa viserenget lite 1,500/= si naweza kutoa ofa hata creti
 
nimegundua humu kuna watu wana mawazo finyu sana sijui ni roho mbaya na umaskini wa fikra na kipato mimi hoja yangu sio kusema nina gari na nimetoa ofa ya serengeti lite hoja yangu ni kwamba wake za watu wanakwama wapi wako cheap sana shida hiko wapi
 
Back
Top Bottom