Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlikuwepo hapo toka sa Kisuma niliondoka saa10, kuna jamaa yangu alikuwa anafunga mziki kwa Dotto sound, nahisi kama nliwaona hao mashangingiHabari wakuu
Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri na mapumziko ya wiki. Ijumaa hii iliyopita wakati natoka kazini nilipitia Magomeni kwa dhumuni la kwenda fundi wa redio ya kitorori changu ninachokitumia kwa mizunguko yangu hapa town.
Sasa baada ya kumaliza shughuli yakuweka mziki kwa ride yangu nikaaamua kwenda pale Kisuma bar Magomeni kupata menu na some drinks. Nikiwa naendelea, mida ya saa kumi na mbili hivi wakaja wakina mama flani wamevaa madira flani wako poa wamevaa macheni ya gold na smartphones zao za gharama.
Sasa picha likaanza walikuwa wamekaa mbele yangu, mimi nilikaa meza ya nyuma. Walikuwa wanagonga Serengeti lite kama kawaida sasa kuna mmoja akawa ananiangalia sana(of course am a good looking person) nikajua ana shida ya bia.
Nikamnunulia yeye na wenzake some rounds, hakuamini maana walikuwa kama sita na hawanijui nikawapiga bia zao kadhaa. Sasa yule aliekuwa ananiangalia akaja kunishukuru unajua kimitungu tena shit happen nikamuomba namba tukawa tunachat pale.
Mimi baadaye nikaondoka with no time akaanza kunilalamikia mbona umeondoka mapema bra bra.
Kesho yake nikamtafuta aisee ni mke wa mtu na ana watoto wawili na she is a very out going woman. Nikajiuliza wanawake wanakosea wapi jamani yaani mke wa mtu unajachia hivyo?!!
Kwakweli huwa simuelewi kabisa mwanaume nayejiona au anajisifu kuwa yeye ni mzuri(of course am a good looking person)
Ayayayaa, hatari hii mkuu ilibidi usimuendekeze sana, ila nawewe ulinogewa tu huyoo, fisi kakabidhiwa bucha tena[emoji3] ,au ana goma anataka mlicheze wote!, kuwa makini Wise man.yeye ndio amekomaa sana jana twende bagamoyo hata sikuwahi kuomba game can u imagine nikampeleka sasa ninagafanyaje
niko makini zaidi ya sana mtu wanguAyayayaa, hatari hii mkuu ilibidi usimuendekeze sana, ila nawewe ulinogewa tu huyoo, fisi kakabidhiwa bucha tena[emoji3] ,au ana goma anataka mlicheze wote!, kuwa makini Wise man.
dar 1500 labda kwenye vibanda vyenu huko tunakula lite hadi kwa 3000 acha kushoboka
hatuuzi game hata siku mojaniko makini zaidi ya sana mtu wangu
mkuu mgumu kuelewa walimu wako walipata tabu sana sijasema kisuma lite 3000,kuna joints tunakula lite kwwa 3000 halafu atuemii mlachake hata hivyo hoja aikuwa bia shilingi ngapiHapo kisuma Magomeni utamuuzia nani s. lite kwa 3,000/= Au unafikiri hatupajui sisi?
Poa handsome, uwe na wakati mwema.niko makini zaidi ya sana mtu wangu
Hahaaa, mume wa mtu akuuu, navopenda kuwa mother house(main),sitovumilia kabisa huo uside chick[emoji3]Na mume wa mtu ni asali kwahyo wala usiwaogope hawana neno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, kwanza naomba nikipongeze kwa kumili gari huko Daslam...
Lakini kuhusu huyo mama, sioni nini la kukushairi maana wanaume wa huo mkoa mlisha zowea kulelewa....View attachment 1265500
Mtoa mada uko bia ya ngapi? Ngoja waje wanywa bia wenzio labda wataelewa ulichoandika
Shida ni waume zaoSiku hizi wake za watu wamekuwa wakichepuka kwa sana tofauti na zaman hivi shida ni nini
Shida ni waume zao
Pia inawezekana. Ila mume akishindwa kusimama vizuri hasa kimajukumu, hlf awe na ubabe wa kiboya lazima mke aharibike.Wao sio tatizo pia ?