Inakuwaje mwanaume unakuwa tajiri, halafu kupata mwanamke inakuwa shida?

Matajiri huwa wana matatizo sana.
Hujui tu wanamatatizo .
Just imagine mtu ameoa.
Ila amezaa nje halafu kazaa na binamu yake na bado mke wa kwanza anawatoto naye hapo ni nane children .

Sijui haya maisha yakoje
Ila ndio huwezi kunitoa labda afe tu sasa.
Na huyo mtu ni mkimya haongei ni vitendoo.
 
Sad truth
 
Kupata mwanamke ni rahisi..tatizo lipo kwenye kupata mwenye penzi la dhati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…