Sasa licha uzuri yeye kumtizama tu kama pazia la ndani [emoji23][emoji23][emoji23] kafanywa kama picha ta ukutani haa haaa[emoji16]watu wanataka miuno tu
Hata sijui kwakweliWewe unamuonaje ?
You are sooooooo hot
Daaaaaaaaah eti watu gani?Aisee yaan mbka unajiuliza mm mbya sana au Vp...watu smart tunapata walevi na wah uni
Hujui tu wanamatatizo .Matajiri huwa wana matatizo sana.
Sababu kila wanamtafuta mwanamke ambae hatowakubali kwa mali walinazo.. bali atawakubali wao kama wao.
Sad truth is wako kidogo. Hasa ukiwa na pesa kila mwanamke utae mtaka ataangalia mali zako. Hatokukubali ww kama ww.
Pata mwanamke anaekukubali ww kama ww.. si pesa zako . Otherwise utaangukia kqa madanga ya mjini daily
Matajiri huwa wana matatizo sana.
AhahahaWaache wawanunulie nguo sisi tutawavua wakishaziva, Akishasimama tunasema bebi kaa,
Tukishamaliza tutapanda zao car,
Alafu waache wao watambe huko kitaa..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]