Hakuna waarabu wala wahindi bali ni watanzania wenye asili za Tabora, Singida, Songea, Morogoro, Iringa n.k
Mo Dewji ni mnyaturu, Rostam Aziz ni mnyamwezi, wafanyabiashara wengine ni wapemba, wandendeule, waluguru, wasukuma wa Nassa n.k
Hakuna mfanyabiashara mkubwa top 10 Tanzania aliye mwarabu, myemeni wala mhindi.
Mo Dewji ni mnyaturu, Rostam Aziz ni mnyamwezi, wafanyabiashara wengine ni wapemba, wandendeule, waluguru, wasukuma wa Nassa n.k
Hakuna mfanyabiashara mkubwa top 10 Tanzania aliye mwarabu, myemeni wala mhindi.