Tukianza kuangalia jamii zilizofanikiwa hapa nchini, sharti huwa ni kwamba ni kuwaweka Waarabu na Wahindi pembeni kisha ndio tuanze kutafuta mrefu kati yetu mbilikimo wa mafanikio,!
Ni uwezo mdogo wa kufikiri, tumeridhika au nini?
Pathetickwa sababu ya uislamu, matajiri waislamu wamepewa utajiri na maraisi waislamu au wametajirikia kwenye uraisi wa waislamu.
sasa kuna tofauti kwenye mafundisho ya kidini kati ya uislamu na ukristo, ukristo unapendelea wazawa wa nchi husika na wazawa wengi kwanza imo kwenye Biblia wakati waislamu unapendelea muislamu acchh it’s just too complicated naishia hapo …
Historia....inaanzia toka ukoloni wa waarabu mpaka wazungu hapa pwani ya afrika mashariki.Tukianza kuangalia jamii zilizofanikiwa hapa nchini, sharti huwa ni kwamba ni kuwaweka Waarabu na Wahindi pembeni kisha ndio tuanze kutafuta mrefu kati yetu mbilikimo wa mafanikio,!
Ni uwezo mdogo wa kufikiri, tumeridhika au nini?
Hili natakataa kabisa, wazawa culture imetuangusha, uwoga, umbea, uchawa, kujazana majungu. Haswa uwoga uliopitilizaWazawa tulikosa uthubutu na connection tofauti na ngozi nyeupe.
Lamborgini kama ni kipimo cha kuwa tajiri mzito sana tz basi hata Diamond anaingia.Sasa TZ hamna orodha maalum ya matajiri, utajuaje nani kamzidi nani?
kwahiyo 'bilionea davis mosha' hayupo na ile lamborghini yake? akipita nayo mahali watu wanashangaa utafikiri sijui nini
ila nina uhakika madon weusi wapo kuna mambo nimeona huko duniani
Endelea kujidanganya, hao jamaa wana ishi kivyao, ni raia tu lakini kwa mgongo wa kutajirikia Tanzania.Hakuna waarabu wala wahindi bali ni watanzania wenye asili za Tabora, Singida, Songea, Morogoro, Iringa n.k
Mo Dewji ni mnyaturu, Rostam Aziz ni mnyamwezi, wafanyabiashara wengine ni wapemba, wandendeule, waluguru, wasukuma wa Nassa n.k
Hakuna mfanyabiashara mkubwa top 10 Tanzania aliye mwarabu, myemeni wala mhindi.
Hii comments jf waichukue waifanyie kaziTatizo sisi weusi ukifa na biashara inakufa, uliowaacha wanaporomoka wanaanza upya tena.
Wakati wenzetu akifa ni kama hakuna kilichotokea, wanaobaki wanaendelea ulipoishia.
Mosha wa kawaida sana matajiri wa kichaga walikuwa Mengi na Shirima.Sasa TZ hamna orodha maalum ya matajiri, utajuaje nani kamzidi nani?
kwahiyo 'bilionea davis mosha' hayupo na ile lamborghini yake? akipita nayo mahali watu wanashangaa utafikiri sijui nini
ila nina uhakika madon weusi wapo kuna mambo nimeona huko duniani
Hili naliona kwa mbali ,naona vijana sasa wamejanjaruka kutengeneza brand zao..Baada ya muda wa miaka michache ijayo wazawa wataanza kujitokeza kwenye orodha ya matajiri
hata shughuli za kijamii kama misibani hawajichanganyi,
Indigenous TanzanianHakuna waarabu wala wahindi bali ni watanzania wenye asili za Tabora, Singida, Songea, Morogoro, Iringa n.k
Mo Dewji ni mnyaturu, Rostam Aziz ni mnyamwezi, wafanyabiashara wengine ni wapemba, wandendeule, waluguru, wasukuma wa Nassa n.k
Hakuna mfanyabiashara mkubwa top 10 Tanzania aliye mwarabu, myemeni wala mhindi.
Hao sioHakuna waarabu wala wahindi bali ni watanzania wenye asili za Tabora, Singida, Songea, Morogoro, Iringa n.k
Mo Dewji ni mnyaturu, Rostam Aziz ni mnyamwezi, wafanyabiashara wengine ni wapemba, wandendeule, waluguru, wasukuma wa Nassa n.k
Hakuna mfanyabiashara mkubwa top 10 Tanzania aliye mwarabu, myemeni wala mhindi.