Inakuwaje Ommy Dimpoz anaingia kwenye Category nyingi za Afrimma kuliko Harmonize na Rayvany?

Inakuwaje Ommy Dimpoz anaingia kwenye Category nyingi za Afrimma kuliko Harmonize na Rayvany?

Huo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
harmonize kamtoa kwenye reli rayvan .asaivi anaonekana kama ka underground flani
 
Stress labda wewe ambae unamsifia Ommy miaka ya leo[emoji23][emoji23][emoji23] hakuna anachofanya kwa sasa.. Labda enzi za nai nai kidogo
tetema imetolewa remix mbili lakini ni matango Pori tu
 
Hivi muziki gani wa Ommy dimpoz unaweza kusikilizwa dunia ingine?
.
Unajua kweli hata muziki unapendewa nini kwa mtu asiyejua lugha iliyotumika
Pole Sana.... Nyie ndio wale mliopost mnakumbuka nyimbo ya Bolingo ya Alicious mnaimiss mliisikia wakati mama yenu anaiimba. Full kunuka maziwa. Ni ngumu kumuelekeza kijana anayevaa suruali inabana mwili Kama wewe
 
Riziki mafungu saba kila mtu anayake.
Tumuache Ommy dimpoz apeperushe bendera ya nchi.

Harmonize ukimwangalia kwa mwaka huu
Nadhani ndio best male artists aliyefanya vizuri kuliko wote nchini.(kuliko mond na kiba) ambao tuna wa overrate sana.

Rayvany huyu hata mboso sasa anamzidi
Sikuhizi anaimba taka taka.
 
Kumbe nilikuwa nabishana na mtu wa dizaini hii lol!
Mkuu komaa na kufuga vyura. Haya mambo ya uchambuzi huyawezi na wala sio level zako.

Mpaka utakapoacha ushabiki ndipo utaweza kuona mambo in 2 way. Kwa sasa upo 1 way oriented.
 
Ngumu mnoooo. Achana nao mkuu, wakikua wataelewa tuu.
Pole Sana.... Nyie ndio wale mliopost mnakumbuka nyimbo ya Bolingo ya Alicious mnaimiss mliisikia wakati mama yenu anaiimba. Full kunuka maziwa. Ni ngumu kumuelekeza kijana anayevaa suruali inabana mwili Kama wewe
 
Pole Sana.... Nyie ndio wale mliopost mnakumbuka nyimbo ya Bolingo ya Alicious mnaimiss mliisikia wakati mama yenu anaiimba. Full kunuka maziwa. Ni ngumu kumuelekeza kijana anayevaa suruali inabana mwili Kama wewe
I can be older than you kid, jibu swali langu kama kweli wewe unaujua muziki umeisikia Nyimbo ya mapenzi ya Kihindi au kikorea si yakuchezeka kabisa kwamba utapenda melody ni kitu gani kitakufanya uipende?
.
Na swali la mwisho muziki ni Melody au mashairi?
 
Mkuu komaa na kufuga vyura. Haya mambo ya uchambuzi huyawezi na wala sio level zako.

Mpaka utakapoacha ushabiki ndipo utaweza kuona mambo in 2 way. Kwa sasa upo 1 way oriented.
Mimi sio shabiki wewe hujui lolote kwenye muziki yani HUJUIIII ndio maana nakuona ndezi kumbuka maneno yangu umechelewa sana kuja mjini shukuru hata hako kachuo kamekufanya ukujue ila ujanja bado huna
 
Muziki ni aina ya sanaa inayotumia sauti mbalimbali: za kibinadamu na za ala za muziki, ama kwa pamoja au kila moja pekee.
Nimeuliza hivi mtu pori Music ni melody au mashairi?
.
Usinipe majibu ya watoto wa shule
 
Mimi sio shabiki wewe hujui lolote kwenye muziki yani HUJUIIII ndio maana nakuona ndezi kumbuka maneno yangu umechelewa sana kuja mjini shukuru hata hako kachuo kamekufanya ukujue ila ujanja bado huna
Kwa hiyo muziki wanajua walioko mjini tuu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wanaume wa Dar mmedumaa miili mpaka akili. Haiitaji akili ya darasani kujua mziki mzuri na mbovu. Mziki ukiwa mzuri ukipigwa hata wanyama wanacheza.
 
I can be older than you kid, jibu swali langu kama kweli wewe unaujua muziki umeisikia Nyimbo ya mapenzi ya Kihindi au kikorea si yakuchezeka kabisa kwamba utapenda melody ni kitu gani kitakufanya uipende?
.
Na swali la mwisho muziki ni Melody au mashairi?
Utakuwa ni mmoja wa mozombi wa wasafi....
 
Nimeuliza hivi mtu pori Music ni melody au mashairi?
.
Usinipe majibu ya watoto wa shule
Vijana msioenda shule mnajua music inacomprise melody and lyrics only, poleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tafakari maana ya music niliyokupa hapo juu.
 
Hivo vi tatoo ndio vinakufanya ujione ushafika USA sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi na ww tunaishi 3rd world country, so wote ni watupori tuu mfuga vyura

Usijione mjanja saana wakati ni mlugaluga wa akili mpaka mwili.
Nimeuliza hivi mtu pori Music ni melody au mashairi?
.
Usinipe majibu ya watoto wa shule
 
hapo ndio mjifunze tofauti ya wasanii wanaoimba nyimbo na wanaoimba muziki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unaweza ukahisi umeachia miziki kumi kumbe kati ya hizo tisa ni nyimbo na mziki ni mmoja tu

na mwenzenu akatoa miziki mitatu tuuu na yote ikapitishwa kama miziki

yooooooooooooooh
 
Back
Top Bottom