Inakuwaje Rais anapokataa kuishi Dodoma?

Inakuwaje Rais anapokataa kuishi Dodoma?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?

Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?

Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?

Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?

Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
 
Mimi simfagilii uyo Raisi wenu Ila akikaa Dar au Dodoma ulinzi si uleule tu.
 
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?

Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?

Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?

Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?

Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
NChi inakopa hii. Hawajali gharama
 
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?

Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?

Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?

Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?

Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Mama wanafungua nchi..

GYlDWjGWMAAwv4G.jpg
 
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?

Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?

Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?

Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?

Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Mke mdogo anaishi Dodoma, yeye popote
 
raisi wa USA anaishi washington dc kamji kadogo kabisa USA, D.Trump aliacha Trump towers NYC yenye mabeseni ya dhahabu akaenda kuishi in the old white house, ni swala la uislamu na uafrika kupenda makuu na umwinyi …
 
raisi wa USA anaishi washingtin dc kamji kadogo kabisa USA, D.Trump aliacha Trump towers yenye mabeseni ya dhahabu akaenda kuishi in old white house, ni swala la uislamu na uafrika kupenda makuu na umwinyi …
Wakati huohuo huwa tunasoma habari jinsi watumishi wa umma wanavyolazimishwa kuishi maeneo yao ya kazi.
 
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?

Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?

Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?

Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?

Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Ndugai alihoji wakamla kichwa
 
Back
Top Bottom