technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?