Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimekuelewa sana,unazungumzia gharama,ndio akakae wapiUmeelewa chanzo na dhima ya uzi huu?Hebu rudi uusome mwanzo.Hakuna anayekataliwa kusafiri ila kwa ajili ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa sana,unazungumzia gharama,ndio akakae wapiUmeelewa chanzo na dhima ya uzi huu?Hebu rudi uusome mwanzo.Hakuna anayekataliwa kusafiri ila kwa ajili ya nini?
Raisi hapangi mwenyewe pa kulala wala kuishi kama wewe ulivyoamua kuishi kwenu yomboJe vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Hataki kuzoewaJe vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Ikitokea hivyo inabidi na wewe utwambie kwa nn unataka akae Dodoma wakati kila mkoa kuna ikulu ndogo? Ila ukiona hujaridhika mshitaki kwa uongozi wa juu yakeJe vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
Huyu jamaa ni nani
Baba wa kambo huyoHuyu jamaa ni nani
Inaonekana nyota yake imewaka sana
Ankol wa Abdul ?Baba wa kambo huyo
Mmmh, hapa naona yaani mtu anaangaliwa kwa hisia za upendo sana. NI nani huyu anaangaliwa hivyo, Abdul?Mama wanafungua nchi..
![]()
Perdiem kwa lundo la walinzi wanaomsindikiza?Mimi simfagilii uyo Raisi wenu Ila akikaa Dar au Dodoma ulinzi si uleule tu.
Basi wakutane Bungeni wabadilishe sheria, warudishe makao makuu jijini Daslam...ile ikulu ya chamwino wageuze chuo cha veta au makumbusho ya kanda ya kati....Uamuzi wa kuhamia Dom ulikiwa ni wa kufilurahishana kwa nje aka unafiki; hamna kiongizi ndani ya roho yake anayetamani kuishi Dom vumbi tupu usipopaka mafuta unapauka hadi midomo - ule ni mji mkuu wa kisiasa.
Katibu wake huyoMmmh, hapa naona yaani mtu anaangaliwa kwa hisia za upendo sana. NI nani huyu anaangaliwa hivyo, Abdul?
Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nch
Nice picture
Ni hakika rais hakai Dodoma wala kufanyia kazi Dodoma. Yuko Dar es Salaam na kufanyia kazi Dar kama vile Dodoma sio makao makuu ya nchi. Bila shaka inaongeza gharama na matumizi sana kwa serikali kwani mawaziri na wakubwa wa vyombo vya nchi wanaotakiwa kwa mujibu wa sheria wawe Dodoma inabidi wakati mwingi wawe Dar kumfuata rais wa jamhuri. Bila shaka wa kwnza kwa kufaidi ni wenye mahoteli. Kwa mwenendo huu hakuna balozi watajenga na kuhamaia D0d0ma maana badala ya wao kuifuata serikali makao makuu Dodoma vigogo kuanzia rais mwenyewe wanawafuata mabalozi Dar.Je vyombo vya ulinzi haviwezi kumlazimisha ?
Je vyombo vya ulinzi vinashindwa Nini kumtaka Rais akaishi Dodoma?
Hasara za Rais kutokuwa na makazi maalumu si ni hasara kwa walipa Kodi maana gharama za kumlinda uongezeka ?
Mabilioni yaliyojenga ikulu dodoma je ni hasara? Hasara kwa Nani? Kama muhusika haishi pale?
Magogoni, kizimkazi na Dodoma ni wapi makao makuu ya nchi?
I say! Mara ya mwisho kuona picha ya mtu anaangaliwa hivyo ilikuwa wakati wa mchakato wa Katiba....Katibu wake huyo